June 02, 2016

 

 
Cloudsmediagroup‬ imeingia makubaliano na ‪#‎AzamMedia‬ kwaajili ya kuonyesha mashindano ya #‎SportsXtraNdondoCup2016‬ kupitia Azam two na Azam sports HD......uzinduzi rasmi ni siku ya Jumapili uwanja wa Bandari kati ya mabingwa watetezi Faru Jeuri vs Temeke Market kuanzia saa 6 mchana, live Azamtv

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE