Taarifa iliyotolewa na afisa habari wa klabu ya Yanga Jerry Cornel Muro inasomeka hivi: “Mechi ya Yanga na TP Mazembe Jumanne 28-06-2016, mashabiki wote wanaruhusiwa kuingia uwanjani BURE bila ya kiingilio, lengo likiwa ni kuwahakikishia WATANZANIA wanapata nafasi ya kui-support timu yao ya Yanga.”
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment