August 29, 2016


Kupatwa kwa jua mwaka 2016 
 
Siku ya Jumatano mwezi Machi tarehe 9 watu katika baadhi ya maeneo ya Australia na Asia ya kusini walishuhudia tukio la kupatwa kwa jua.
Hata hivyo kwa mujibu wa wanasayansi ni kwamba maeneo mengine ya visiwa vya Hawaii,siku ya Jumanne walipata kuona kupatwa kwa jua.

Kwa Tanzania tukio hili  linatarajiwa kutokea siku ya Alhamisi ya 1 September 2016. Tukio hili linatazamiwa kutokea katika maeneo ya Rujewa, Mbeya na Wanging'ombe

Kupatwa kwa jua hutokea pale mwezi utakapopita moja kwa moja mbele ya jua na kusababisha kuwa na giza kwa muda fulan

Related Posts:

  • Tambwe aibeba Yanga dhidi ya BDF Mshambuliaji Amis tambwe leo ameiongoza Yanga kuichapa timu ya BDF kutoka Botswana katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa awali kuwania kombe la Shirikisho barani Afrika. Katika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Tai… Read More
  • Runinga zilizojizima kupigwa fainiMamlaka ya mawasiliano nchini Kenya sasa inasema kuwa itavipiga faini vituo vya uninga vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao kufuatia hatua ya serikali kuhamia katika matangazo ya dijitali. Mkurugen… Read More
  • Wakazi Kasulu mkoani Kigoma washerehekea Valentine na Clouds   Leo ikiwa ni siku ya Valentine day yaani ni siku ya wapendanao Kwa mara ya kwanza kabisa, wakazi wa Kasulu mkoani Kigoma , wameanza kusikiliza  matangazo ya kituo cha radio cha Clouds fm kwa masafa ya 89.3 FM. … Read More
  • Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi b Wageni hawatoruhusiwa kumiliki ardhi Afrika Kusini, kufuatana na sheria kali zinazopendekezwa na Rais Jacob Zuma. Siku zijazo wageni wataruhusiwa tu kukodi kwa muda mrefu ardhi ya mashamba ya Afrika Kusini. Mbali ya ha… Read More
  • New Audio/ Darasa ft Barnaba - Cinderela    Huu ni wimbo mpya wa Darasa alioutoa maalum kw asiku hii ya Valentine day, hapa kamshurikisha Barnaba wanakwambia Cinderella … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE