
Hata
hivyo kwa mujibu wa wanasayansi ni kwamba maeneo mengine ya visiwa vya
Hawaii,siku ya Jumanne walipata kuona kupatwa kwa jua.
Kwa Tanzania tukio hili linatarajiwa kutokea siku ya Alhamisi ya 1 September 2016. Tukio hili linatazamiwa kutokea katika maeneo ya Rujewa, Mbeya na Wanging'ombe
Kupatwa kwa jua hutokea pale mwezi utakapopita moja kwa moja mbele ya jua na kusababisha kuwa na giza kwa muda fulan
0 MAONI YAKO:
Post a Comment