Sim yamponza Justin Bieber
Mwanamuziki Justin Bieber ameshtakiwa kwa dola milioni 100,000 kwa madai kwamba alivunja simu.
Nyota
huyo ametuhumiwa kuivunja simu ya Robert Earl Morgan baada ya kujaribu
kumrekodi Bieber wakati alipokuwa akiny…Read More
Serikali yasitisha wimbo na Video ya Chura ya Snura mpaka .....
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo leo imetangaza kuisitisha video na wimbo wa Snura, Chura kuchezwa kwenye redio na TV.
Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Zaw…Read More
Rais wa Burundi amefariki DuniaRais wa zamani wa Burundi Kanali Jean-Baptiste
Bagaza amefariki akitibiwa nchini Ubelgiji.
Kanali Bagaza amekuwa akitibiwa kwa muda
katika hospitali ya Sainte Elisabeth mjini Brussels.
"Imethibitishwa, rais wa zamani Jean Bap…Read More
Mtoto wa miaka 10 agundua udhaifu Instagram
Mvulana wa umri wa miaka 10 nchini Finland ameshangaza wengi baada ya kugundua udhaifu katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
Mvulana
huyo kwa jina Jani ametunukiwa $10,000 (£7,000) baada ya kugundua
udhaifu huo ulio…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment