Huwa tunaskiaga tu kwamba Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalim J.K Nyeree alijiuzulu nafasi yake ya ualimu katika shule ya Sekondari ya Pugu.Sasa basi hapa leo hii tumeipata barua iliyoandikwa na Mwali Nyerere alipofanya uamuzi wa kujiuzuru kwake na sababu zipo hapa kwenye barua hiyo.Barua ya Mwalimu Nyerere kujiuzulu ualimu Pugu Sekondari, ili kushiriki siasa, Machi 22, 1955.
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment