September 12, 2016

julius-nyerere-wikimedia-national-archives-open-government-licence

Huwa tunaskiaga tu kwamba Rais wa kwanza wa Tanzania  Mwalim J.K Nyeree alijiuzulu nafasi yake ya ualimu katika shule ya Sekondari ya Pugu.Sasa basi hapa leo hii tumeipata barua iliyoandikwa na Mwali Nyerere alipofanya uamuzi wa kujiuzuru kwake na sababu zipo hapa kwenye barua hiyo.Barua ya Mwalimu Nyerere kujiuzulu ualimu Pugu Sekondari, ili kushiriki siasa, Machi 22, 1955.


img_20160912_122635

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE