September 12, 2016

julius-nyerere-wikimedia-national-archives-open-government-licence

Huwa tunaskiaga tu kwamba Rais wa kwanza wa Tanzania  Mwalim J.K Nyeree alijiuzulu nafasi yake ya ualimu katika shule ya Sekondari ya Pugu.Sasa basi hapa leo hii tumeipata barua iliyoandikwa na Mwali Nyerere alipofanya uamuzi wa kujiuzuru kwake na sababu zipo hapa kwenye barua hiyo.Barua ya Mwalimu Nyerere kujiuzulu ualimu Pugu Sekondari, ili kushiriki siasa, Machi 22, 1955.


img_20160912_122635

Related Posts:

  • JAMBAZI AKUTWA NA MIFUPA YA BINADAMU BUNDUKI NA RISASI   Makamanda wa polisi wa mikoa mitatu ya simiyu, shinyanga na mwanza wamefanikiwa kuvunja mtandao hatari wa ujambazi uliokuwa unaongozwa na mfanyabiashara wa mjini bariadi Njile Samwe… Read More
  • WANAFUNZI WAPINGA UNYAKUZI WA ARDHI    Polisi nchinikenya katiika mji mkuu Nairobi leo imewafyetulia gesi ya kutoa machozi wanafunzi wa shule ya msingi waliokuwa wakiandamana kupinga unyakuzi wa ardhi waliyokuwa wanatumia kama kiwanja cha kuchez… Read More
  • DONDOO 10 MUHIMU KWA WAZAZI NA WAZAZI WATARAJIWA 1. Mkanye mtoto wako wa kike na hata wa kiume kuhusu kukubali kupakatwa hovyo, bila kujali ni nani anampakata, hata kama ni mjomba wake. 2. Usivue nguo mbele ya mwanao pindi akifikisha miaka 2 au zaidi. Jifunze kumw… Read More
  • NEW VIDEO: SISIKII - JUX    Mkali wa muziki wa R&B Bongo Juma Jux, ameachia rasmi video mpya ya imbo wake Sisikii.  Kwenye kichupa hicho uitapata kumuona mwana dada Vannesa Mdee akiwa ame appear kama video queen alie vaa uhusi… Read More
  • VIKOSI VYA YEMEN KIHOUTH MJINI SANA'A    Wanamapinduzi wa Kishia wa Ansarullah wa nchini Yemen wamepigana na vikosi vya serikali huko Sana'a mji mkuu wa nchi hiyo. Watu walioshuhudia wamesema kuwa, sauti za risasi na milipuko kadhaa zimesikika huko… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE