October 19, 2016
8:05 PM
Machaku
No comments
October 19, 2016 Soudy Brown mtangazaji wa U Heard ya Clouds FM amepiga story na msanii Linah ambaye inadaiwa anatoka kimapenzi na jamaa mmoja anaitwa Shebby. Soudy ametaka kujua kuhusu picha zilizoanza kuzagaa zikimuonesha Shebby akiwa anamvisha pete ya uchumba mwanamke mwingine.
Related Posts:
Tuzo za watu 2015 zazinduliwa rasmi leo, mabadiliko makubwa yafanyika Mhariri mkuu wa Bongo5 Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja na mwariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari katika uzinduzi wa Tuzo za watu 2015 Kampuni ya Bongo5 Media Group, imez… Read More
Muswada tata kupeleka waandishi jela wapita Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bunge limepitisha muswada mchungu kwa waandishi wa habari na vyombo vya habari baada ya kupitisha Muswada wa Takwimu wa Mwaka 2013, ambao pamoja na mambo mengine unataka mwandishi at… Read More
Raisi awasimamisha kazi 175 kwa ufisadiKenyatta awasimamisha kazi maafisa wakuu serikalini 175 kufuatia tuhuma za ufisadi dhi yao Mawaziri 5, makatibu 6 wa kudumu na Magavana 10 wametajwa miongoni mwa maafisa 175 wa umma watakaolazimika kunga'atuka mamlakani katik… Read More
Kumbe, tarifa zinasema kwamba Ndege ya Ujerumani iliangushwa makusudi Rubani Andreas Lubitz Rubani wa ndege ya kampuni ya Germanywings ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo kulingana na maafisa wa Ufaransa.Kiongoz… Read More
Pitio la Magazeti ya leo hii ijumaa march 27Leo ijumaa 27/3/2015 tunakupatia fursa ya kujua kile kilichoandikwa katika magazeti ya leo japo kwa Vichwa vya Habari. Kama ukitakaka habari zaidi pitia katika meza za magazeti zilizo karibu nawe … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment