October 19, 2016
8:05 PM
Machaku
No comments
October 19, 2016 Soudy Brown mtangazaji wa U Heard ya Clouds FM amepiga story na msanii Linah ambaye inadaiwa anatoka kimapenzi na jamaa mmoja anaitwa Shebby. Soudy ametaka kujua kuhusu picha zilizoanza kuzagaa zikimuonesha Shebby akiwa anamvisha pete ya uchumba mwanamke mwingine.
Related Posts:
Eidd Mubarak :Kurasa za Magzetini leo hii jumapili 25 June 2017 Karibu katika kurasa za Magazetini leo hii Jumapili ya June 25, Habari zilizobeba uzito katika kurasa hizo za nyuma na za mbele ni hizi hapa &… Read More
Lowassa amtaka Magufuli kuwaachia Masheikh wa Uamsho Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA ambaye pia ni waziri mkuu mstaafu Mzee Edward Ngoyai Lowassa amemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli ku… Read More
BBC wanaripoti: Watu 100 wahofiwa kuteketea hadi kufa nchini Pakistan Yamkini watu 100 wamefariki kwa kuteketea, baada ya lori moja la mafuta kupinduka na kisha kuanguka katika ajali ya barabarani. Zaidi ya watu 100 wanaaminika walikimbia na kufika katika eneo la ajali hiyo ili … Read More
Manara V/S Baraka Mbolembole: Manara povu lamtoka, ashtaki kwa Dauda, achimba mkwara mzito Haji Manara Afisa Habari wa Simba Katika hali isiyokuwa ya kawaida, msemaji wa Klabu ya soka ya Simba ya Jijini Dar Es salaam Haji Manara, amemchimbia mkwara mzito muandishi na mchambuzi wa maswala ya soka nchini Baraka … Read More
Ujumbe wa sikukuu ya Eid wa rais Erdoğan wa Uturuki Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan siku ya Ijumaa ametoa ujumbe maalum wakati huu ambapo waislamu wote duniani wanasheherekea sikukuu ya Eid Ul Fitri . Rais Erdoğan amewapongeza waislamu kwa kuumaliza mwezi mtuk… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment