October 19, 2016
8:05 PM
Machaku
No comments
October 19, 2016 Soudy Brown mtangazaji wa U Heard ya Clouds FM amepiga story na msanii Linah ambaye inadaiwa anatoka kimapenzi na jamaa mmoja anaitwa Shebby. Soudy ametaka kujua kuhusu picha zilizoanza kuzagaa zikimuonesha Shebby akiwa anamvisha pete ya uchumba mwanamke mwingine.
Related Posts:
Video rasmi ya Raymond Natafuta kiki hii hapa Ni miongoni mwa waimbaji wa bongo wanaopewa sifa nyingi za utunzi na uimbaji kwenye bongofleva, lebo inayomsimamia ni WCB ya Diamond Platnumz, ukishamaliza kuitazama hii video usiache kutoa comment yako … Read More
Afande Sele Mikononi Mwa Polis Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA ambayo yamepigwa ma… Read More
Kurasa za Magazetini leo hii September 01 Karibu katika kurasa za magazetini leo hii ikiwa ni 01 September 2016 huku Tanzania ikiingia katika Historia ya Dunia ya kupatwa kwa jua . Magazeti ya leo yamebebwa na habari hizi kubwa … Read More
Papa Benedict XVI aeleza sababu za yeye kujiuzulu Papa Mtakatifu Benedict XVI alipokuwa akihojiwa alisema kuwa aliona kujiuzulu kwa ke lilikuwa ni jambo la lazima kutokana na kuporomoka kwa afya yake na kushindwa kuendana na kasi ya kazi zake. Japo alitamani… Read More
Baada ya kuachana na mziki, Mzee Yusuph aenda Hijja Aliyekuwa mfalme wa taarab Mzee Yussuf amepaa kwenda Makka kuhiji. Mzee Yussuf ambaye kwa sasa anapenda ajulikane kama ‘Ustadh’ badala ya ‘Mfalme’ amepaa na ndege ya Emirates mchana huu. Ustadh Mzee Yussuf a… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment