October 14, 2016


Wanawake wanaotumia kope bandia wanahofiwa kuwa na hali ya hatari ya kupata upofu wa macho kutokana na gundi wanazotumiwa kutumia kope hizo kuripotiwa kuripotiwa kuwa na athari kwenye macho yao.

Tahadhari hiyo imetolewa na mratibu wa huduma ya macho ya mkoa wa Iringa, Dk George Kabona,alipokuwa akitoa tathmini ya huduma ya macho ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya siku ya afya ya macho duniani.

“Ningependelea wasipende kuzivaa kama fasheni ya kawaida,kwasababu zina madhara sana. Kwasababu hizo kope unabandika kwa kile kitu ambacho ile chemical ya kubandikia ndio huwa inaogopwa zaidi kuliko hata kope zenyewe. Ingekuwa labda unazibana na stapler hivi labda lakini kuna kitu unabandikia ile kitu ndio jicho halikitaki kama kinaendelea kukaa pale muda mrefu,”alisema Kabona.

“Pia hupelekea uoni hafifu. Pia linaweza likawapelekea watu shida ya kuona kwasababu uoni hafifu kuna ule mkali na uoni hafifu wa nafuu. Ukiwa ule mkali utakuletea shida kwenye shughuli zako za kila siku. Ukiwa katikati kama unaangalia TV, ukiwa unataka kumuona mtu unasogea maisha yanaweza yakaendelea. Lakini kuna ule mkali kabisa unakaribia na upofu unahitaji huduma.”

Related Posts:

  • TB JOSHUA: UTABIRI WAKE WATIMIA Prophet TB Joshua alitabiri mwaka jana kwamba Nigeria itakua ya kwanza kiuchumi kushinda nchi zote za Africa. Wakati anatabiri. ..nilikua nikiangalia nchi ya Africa Kusini, Misri etc.....niliwaza sana. Jana Imetangazwa kuw… Read More
  • PATA MUDA WA KUANGALIA VIDEO MPYA YA QUEEN DARLEEN NA SHILOLE   Hii ni video iliyowahusisha Diamond Platnumz na dada yake wa damu  Queen Darlin uzinduzi wa video hii ulifanyika Bilicanas mwishoni mwa wiki iliyopita,video hii imetenegezwa na kampuni ya Jerry Mushala Stud… Read More
  • MWANAFUNZI AKUTWA AKIFANYA NGONO NA NGÓMBE WA JIRANI!!  Binafsi imenisikitisha sana.... na nimestaajabika mno. Habari na Ezekiel Kamanga, KyelaMwanafunzi wa Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari Ikolo, Wilaya ya Kyela Bakiro Hance (18), amekutwa akifa… Read More
  • MVUA ZALITESA JIJI LA DAR Mburahati na Mayfair leo asubuhi Tokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali ya Dar es Salaam, zimepelekea uharibufu wa barabara na mazingira. Haya ni maeneo ya jiji la Dar es Salaam yaliyoathirika … Read More
  • MTAZAME JUX AKIFANYA VIDEO YA NITASUBIRI NCHINI CHINA   Msanii Jux wa bongofleva kabla hajaondoka kwenda China safari hii, alisema atautumia muda wake akiwa huko kushoot video ya wimbo wake mpya “nitasubiri” ambao wiki kadhaa zilizopita alikiri kwamba wimbo huo … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE