November 20, 2016

 
Mtandao wa kijamii Facebook umetangaza hatua mpya itakazochukuwa kudhibiti taarifa za uongo zinazochapishwa katika mtandao huo.

Mmiliki wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yuko katika harakati za kuunda kifaa kipya kitakacho kuwa na uwezo wa kuhakiki taarifa zinazochapishwa kama ni za kweli.

Mtandao wa Facebook umekosolewa kwa kuchapisha taarifa za uongo kuelekea uchaguzi wa urais wa Marekani na huenda ulishawishi matokeo ya uchaguzi huo.

"Tumekuwa tukilishughulikia tatizo hili kwa muda mrefu na tunalitilia maanani sana. "alisema Zuckerberg.

Amesema kuwa matatizo hayo ni magumu. Hata hivyo ameongeza kuwa Facebook haitaki kuzuia ubadilishanaji wa maoni na kuwa kizingiti kwa ukweli.

Related Posts:

  • Mama yake Hayati Samuel Sitta Alipoikaribisha Tigo Fiesta Tabora   Kama ilivyo kawaida ya FIESTA, huambatana na matukio mbalimbali ya Kitaifa, Kwa mkoa wa Tabpora watasherehekea Fiesta siku ya Ijumaa 01 Oct .Geah Habib alipata nafasi ya kutembelea nyumbani kwa Hayati Spika wa B… Read More
  • Unique Sisters warudi kwako wewe    Wasanii wakongwe kwenye game ya muziki ambao ni ndugu wa familia moja Unique Sisters, wamesema wamerudi rasmi kwenye game, kutokana na maombi ya mashabiki na kuachia kazi yao mpya kwa ajili yao inayoitwa '… Read More
  • Mbowe Anyang'anywa Gari Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimesikitishwa na hatua ya uongozi wa Bunge la Tanzania ya kulichukua gari la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe alilokuwa akilitumia kwa sh… Read More
  • Ancelotti atimuliwa Bayern   Kocha wa Bayern Munich Carlo Ancelotti amefutwa kazi leo kufuatia mwanzo mgumu wa msimu wa 2017/18 yakiwemo matokeo ya jana usiku ambapo timu hiyo ilikubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa PSG. Mkurugenzi … Read More
  • Official Video: Madee ft Nandy - Sema    Madee anatualika hapa kuitazama Video mpya ya wimbo wake wa Sema aliomshirilisha Nandy       … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE