November 26, 2016

Tokeo la picha la Darassa ft Ben Pol - Muziki  

Darassa ni moja ya miungoni mwa wanamuziki wa Hip Hop wanaofanya vizuri sana nchini. Hivi karibuni aliachia wimbo wake wa - Too Much. Wimbo uliotokea kufanya poa sana kila kona na nje ya Tanzania. Sasa Darassa amekuja tena na wimbo mwingine unaitwa Muziki aliomshirikisha Ben Pol

      

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE