November 10, 2016

Kutoka hapa nilipo naona moshi mkali. Kwa mujibu wa watu waliopo eneo la tukio, wanasema moto unawaka jirani na chuo cha Tumaini kampasi ya Mwenge.

Kinachoungua ni ghala linalomilikiwa na Saba Spare Parts linateketea kwa moto muda huu. Zimamoto wamefika na wanaendelea na uokoaji.




 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE