December 03, 2016

fifa 


Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA, wametangaza majina ya makocha watatu waliobaki katika kinyang’anyiro cha kuwania. Tuzo ya Kocha Bora wa Dunia mwaka 2016 ambapo mshindi atatangazwa Januari,9,2017 huko Zurich.

Haya ndio Majina ya makocha hao
1.Claudio Ranieri – Leicester
2.Fernando Santos – Portugal
3.Zinedine Zidane -Real Madrid
Kocha gani unaona anastahili kubeba tuzo hii andika komenti yako hapo chini

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE