Baada ya kuachiwa kwa dhamana Jumatatu hii, Vanessa Mdee ametakiwa kuripoti kituo cha polisi cha kati (Central) Jumatano hii.Kwa mujibu wa maelezo ambayo Bongo5 imepatiwa kutoka kituoni hapo, hitmaker huyo wa Cash Madame ameachiwa kwa dhamana Jumatatu hii, baada ya kufanyiwa mahojiano ya mwisho hiyo jana.Mrembo huyo amekuwa akishikiliwa na jeshi la polisi tangu Jumatano iliyopita. Vanessa ni miongoni mwa mastaa waliotajwa kwenye orodha ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana kuhusishwa na matumizi na biashara ya dawa za kulevya.
MILIONI 675 KUBORESHA HUDUMA ZA TIBA MANISPAA YA TABORA
-
Na OWM - TAMISEMI, Tabora
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe
amesema Serikali imetoa Shilingi Milioni 675 kutekele...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment