Baada ya kuachiwa kwa dhamana Jumatatu hii, Vanessa Mdee ametakiwa kuripoti kituo cha polisi cha kati (Central) Jumatano hii.Kwa mujibu wa maelezo ambayo Bongo5 imepatiwa kutoka kituoni hapo, hitmaker huyo wa Cash Madame ameachiwa kwa dhamana Jumatatu hii, baada ya kufanyiwa mahojiano ya mwisho hiyo jana.Mrembo huyo amekuwa akishikiliwa na jeshi la polisi tangu Jumatano iliyopita. Vanessa ni miongoni mwa mastaa waliotajwa kwenye orodha ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana kuhusishwa na matumizi na biashara ya dawa za kulevya.
March 14, 2017
1:25 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Diamond ni aina ya wasanii wanaotakiwa nchini – Bushoke Msanii mkongwe wa muziki nchini, Bushoke amemmwagia sifa mkali wa wimbo ‘Salome’ Diamond Platnumz kuwa ndiye msanii anayetakiwa kuigwa na wasanii wengine. Muimbaji huyo alisema kuwa Diamond ni miongoni mwa… Read More
Wasioamini uwepo Mungu Kenya wataka kuondolewa neno ‘God’ kwenye wimbo wa taifa Chama cha watu wasioamini uwepo wa Mungu (Atheists) nchini Kenya kimetaka kuondolewa kwa neno ‘God’ kwenye wimbo wa taifa. Wanadai kuwa neno ‘God” kwenye mstari wa kwanza wa wimbo huo halihimizi moy… Read More
Kurasa za Magazetini leo jumanne ya 18 oct ziko hapa Habari mpenzi msomaji. Karibu katika kurasa za Magazetini leo hii Jumanne ya 18 Oct 2016. Habari kubwa zilizobeba uzito katika kurasa za mbele na za nyuma ni hizi hapa tumekuwekea. … Read More
Nicki Minaj Ampa za Uso Donald Trump na Mkewe Mastaa wa Marekani wameendelea kumuandama mgombea wa Urais wa Marekani kupitia chama cha Republican, Donald Trump – sasa ni zamu ya Nicki Minaj. Kwenye tamasha la Tidal X 1015 lililofanyika wikiendi hii huko mjini Ne… Read More
FIESTA 2016: Mbeya wamesema yes, nani wa kupinga?? Kwa mujibu wa watabiri wa hali ya hewa nchini. Hali ya Hewa ya Mbeya ilikuwa hivi. FIESTA 2016 ikizidi kuelekea ukingoni huku mzuka wa Watanzania ndiyo kwanzaaa, unazidi kuichuiua nafasi. Wakazi wa jiji la Mbeya u… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment