May 28, 2017

 

 Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Simba ya mwezi February Abdi Banda, amewaaga rasmi wapenzi na mashabiki wa Club hiyo ya Msimbazi ambao ni mabingwa wabya wa kombe la FA. Kupitia ukurasa wake wa instagram Kiungo huyo machachari ameandika ujumbe huo masaa machache baada ya mechi ya Fainali iliyowakutanisha Simba na Mbao FC

Image may contain: 4 people, text 
 >> Abdi anaandika hivi
 officiallabdibanda24Ahsante mungu nashukur kwa hiki ulichotujaalia. Zawad ya mashabiki wa simba nawaachia acha na mm nitafute maisha sehem nyingine. Nitamiss vitu vingi hasa sapport yenu na moyo wenu wa uvumilivu ahsanten sana kwaherini.
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE