Mashabiki wa Ray C, Kimya kukubwa kina mshindo mkuu. Hatimaye mwana dada Ray C Kiuno bila mfupa, ametuletea Video ya wimbo wake unanimaliza. Ipo hapa chini
Fatma Karume: Dk. Shein siyo rais Zanzibar
Wakili Fatma Amani Abeid Karume
MJUKUU wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Abeid
Amani Karume, amepinga hatua ya kumtangaza Dk. Alli Mohammed Shein, kuwa
rais Visiwani
Fatma Amani…Read More
Paul Makonda aombewa tena
MUFTI
wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubery amemuombea dua, Mkuu wa Mkoa wa Dar
es Salaam pamoja na Rais Dk. John Magufuli ili waweze kulitumikia vema
taifa na kuliletea maendeleo.
Zubery
alimfanyia dua hiyo Makon…Read More
Wanajeshi 8 mbaroni kwa mauaji
Askari nane wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kigona wakituhumiwa kwa mauaji ya Erick Nilamewa (16) waliyemtuhumu kuwaibia simu moja aina ya Techno na Sh. 6,000.
Tuki…Read More
Habari za magazeti ya leo Jumamosi 26 March 2016
Habari za Asubhi mpenzi msomaji wa ubalozini.blogspot.com, karibu tena katika ukurasa za magazeti ya leo hii Jumamosi 26 March 2016. Kurasa za magazeti ya leo zimebebwa na habari kubwa mbalimbali
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment