September 29, 2017

“Nyota njema huonekana asubuhi,” hilo limeanza kuonekana katika wimbo mpya wa Diamond, Hallelujah.
Msanii huyo wa WCB, kupitia mtandao wa Instagram ameonyesha kutoamini kwa kile kinachotokea kupitia wimbo wake huo baada ya kuweka rekodi ya kutazamwa zaidi ya mara milioni moja katika mtandao wa YouTube ndani ya masaa 15.

Kupitia mtandao huo, Diamond ameandika:
Lord have Mercy! I can’t even Explain how grateful i am…1 Million Youtube Views within 15 hours…..Thank you so much for this Love and Support…. Let’s take our African Music to the World….

Related Posts:

  • ABOOD MEDIA KUFUTURISHA FUNGA FUNGA     Kituo cha habari cha Abood Media cha mjini Morogoro, kinatarajia kupata futuru ya pamoja na wazee waishio katika kmbi maalum ya kulele wazee wasiojiweza ya funga funga. Akitupa taarifa mmoja ya wanyetishaji… Read More
  • PROFILE/ RAY J Ray J William Ray Norwood Jr (amezaliwa 17 Januari 1981), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii Ray J, ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji rekodi na muigizaji. William Ray Norwo… Read More
  • MASHABIKI SIMBA WACHOMA JEZI YA COUTINHO CHUO KIKUU DAR Hii ni hatari, utani wa miaka nenda rudi kati ya timu kongwe nchini, Simba na Yanga, umeonekana kugeuka chuki na ukatili, kufuatia kitendo cha mashabiki wa Simba kumvamia shabiki mmoja aliyesadik… Read More
  • DAVIDA AZUNGUMZIA BET 2014 JUU YA UPINZANI ULIOTOKEA.   DAVIDO   BET Awards 2014 “Best International Act” winner, Davido could not contain his excitement as BET hosted him and Best International Act 2013 winner/2014 BET Experience performer Ice Prince to a lig… Read More
  • SHAKIRA AFURAHIA KUVUNJA RECORD FACEBOOK   Shakira amekuwa mtu wa kwanza duniani kwenye mtandao wa Facebook kupata Likes milioni 100 katika ukurasa wake. Nyota huyo wa muziki kutoka nchini Columbia amevunja rekodi hiyo siku nne tu baada ya kufanya onyesho… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE