
Mkuu wa Wilaya Mh:Happyness Seneda akizungumza jambo
Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, imezindua Opereshini maalum ya kuhakikisha wilaya hiyo inakuwa ki elimu.
Operesheni ondoa zero Kisarawe imezinduliwa rasmi jan tarehe 07/10/2017 na mhe. Suleiman Jafo mbunge wa Kisarawe na waziri mteule wa OR-TAMISEMI.
Akielezea kwenye uzinduzi huo, Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Happyness Seneda imegawanyika katika hatua mbili:

Waziri mteule wa TAMISEMI Suleiman Jafu kulia ambaye pia ni mbunge wa jimbo hilo
2) Kukusanya michango kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu ya shule zetu
za secondary kwa kujenga mabweni, vyoo, maktaba, madarasa , upatikanaji
wa vitabu na ujenzi wa nyumba za walimu. Katika eneo hili, tunapokea
fedha lakini pia materials mbalimbali kama vile bati, cement, nondo,
tofali n.k
Jumla ya tsh. 65m zimekusanywa leo, na amesema kuwa Operesheni hii ni endelevu.

Hivyo ameomba wadau mbalimbali waendelee
kuunga mkono operesheni hii.
" tunamshukuru wadau wote waliojitokeza na kuchangia siku ya leo ya uzinduzi na hatimaye tumefanikisha kupata tsh 65m.
Jumla ya tsh. 65m zimekusanywa leo, na amesema kuwa Operesheni hii ni endelevu.

" tunamshukuru wadau wote waliojitokeza na kuchangia siku ya leo ya uzinduzi na hatimaye tumefanikisha kupata tsh 65m.


0 MAONI YAKO:
Post a Comment