Kufuatia taarifa za mwanamuziki nguli wa Marekani Rick Ross, kufuta post zinazomuhusisha mwanamuziki wa Kitanzania Nassib Abdul maarufu Diamond Platnum kuzidi kuchukua nafasi katika mitandao ya kijamii na bvyombo vya Habari, hatimaye Meneja wa mwanamuziki huyu Sallam Sk, amevunja ukimya na kuamua kuweka wazi.
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment