Kutoka Morogoro Town au vijana wanaita Mor Town, yule mkali wenu wa kuandika, kuimba na kupangilia sauti, Mr. Kinyulinyuli kama wengi wanavyotamani kumuita ila mimi namwita Sameer, ameika toka alipojificha. Wimbo wake mpya huu hapa unaitwa Sawa amefanya katika studio za Mahewa Record chini ya Producer Willy Matajili
TAWA YAKABIDHI BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI MCHENGERWA, RUFIJI
-
Na Beatus Maganja, Rufiji, Pwani.
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imekabidhi rasmi bweni
jipya la wasichana katika Shule ya Sekondari...
4 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment