
Inasemekana kuwa waigizaji wa Bongo Movie wamekula hela hizo za rambirambi zilizotakiwa kuwafikia familia wa Marehemu.
Nay wa Mitego kupitia account yake ya instagram ameandika caption ambayo inasemekana imewalenga waliochukua rambirambi hizo “Eti Niniiii.?! Wamekula tena RambiRambiiiii😳😳😭😭…?! Nooo Hapana una uhakika? Wakina nani walikua wanachangisha zile hela kwani? naomba majina yao”

0 MAONI YAKO:
Post a Comment