September 01, 2012



 
 
 
 Bi. Kidude anaumwa na amelazwa katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam akipatiwa matibabu wodi namba 202 kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na matatizo ya mapafu kwa ajili ya moshi wa sigara.        
Tukizungumza na mmoja wa wanafamilia anayemuuguza leo hii Bi, Zainab Hussein amesema leo ni siku ya tatu tangu kulazwa kwa Bibi huyo na kwa jinsi tulivyomuona sisi hali yake inaendelea vizuri.
Hata hivyo hatukuweza kupata picha yake nzuri kutokana na msimamo wa familia ambao wamekataza mahojiano na kumpiga picha.
 
Leo asubuhi  zilisambaa  taarifa  kwa  BIBI  KIDUDEamefariki  Dunia  habari  ambazo  si  za  kweli.
 
Tunamuomba  mungu  ampe  afya  njema  ili  aweze  kulejea  katika  hali  yake.
 
 
 
 
Picha  kwa  hissani  ya www.dewji.blogspot.com
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE