July 13, 2017

Kijana Said Ally aliyetobolewa macho na 'Scopion ametoa sababu lukuki za kuitelekeza Familia yake kufuatia habari kusambaa katika mitandao ya kijamii na baazi ya Magazeti. Kupitia kipi ndi cha Leo Tena cha Clouds Fm, Said Ally amefunguka juu ya taarifa na tukio hilo na kutaja sababu za yeye kutengana na Familia yake. Bofya Video hapo chini kujua kipi hasa kilichomsibu Kijana Said


             

Related Posts:

  • Siwezi kujiunga ROCKSTAR4000 kwa MKUBW FELLA pananitosha - Chege Chigunda   Mwanamuziki toka katika kundi la Wanaume Chege Chigunda mtoto wa Mama Saidi, amesema yeye awezi kujiunga na ROCKSTAR4000 kwani kwa mkubwa Fella panamtosha sana. Chege Chigunda amezungumza hayo alipofanya Interview … Read More
  • Brand New Video: Medybotion ft Mash Jay New video release for MEDYBOTION Song Tittled KANIVUMIALIA Song Was Produced By VENNTSKILLZ For KWANZA RECORDS Video Was DIRECTED BY GQ Video Was Shot In MOROGORO TANZANIA EAST AFRICA MEDYBOTION INST… Read More
  • Mtoto wa Future na Ciara apata dili   Mtoto wa rapper Future na mwanamuziki Ciara, Zahir Wilbur ambaye kwa sasa analelewa na mama yake pamoja na baba yake wa kambo Russel Wilson, amepata dili lake la kwanza la kuingiza fedha nyingi. Zahir ambaye a… Read More
  • Siogopi kufungwa – Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema atawatetea Watanzania kwa nguvu zake zote juu ya majizi huku akisema haogopi kufungwa badala yake majizi ndio yatakayo fungwa. Rais Mgufuli ames… Read More
  • Mwana FA na AY, Kulipwa bilioni Mbili za Tigo Hatimaye ile kesi ya wanamuziki AY na Mwana FA, walioishtaki kampuni ya simu za mkononi ya Tigo kwa kutumia nyimbo zao bila makubaliano nao, imefika tamati. Katika hukumu iliyoamliwa na mahakam kuu, Kampuni ya Tigo inatak… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE