July 13, 2017

Kijana Said Ally aliyetobolewa macho na 'Scopion ametoa sababu lukuki za kuitelekeza Familia yake kufuatia habari kusambaa katika mitandao ya kijamii na baazi ya Magazeti. Kupitia kipi ndi cha Leo Tena cha Clouds Fm, Said Ally amefunguka juu ya taarifa na tukio hilo na kutaja sababu za yeye kutengana na Familia yake. Bofya Video hapo chini kujua kipi hasa kilichomsibu Kijana Said


             

Related Posts:

  • OSTAADH JUMA NA MSOMA KUMRUDISHA DOGO JANJA TOWN Dogo Janja akiwa kwenye basi kurudi kwao Arusha June 13 2012. Pamoja na kwamba aliapa hatorudi tena Dar ni bora aende kuishi kwao Arusha baada kutoridhika na vitu alivyokua akifanyiwa na Meneja Madee wa Tip Top Connecti… Read More
  • TIP TOP KUFUTA NYIMBO ZA DOGO JANJA??? Jana na juzi habari ya Dogo Janja kufukuzwa Tip Top Connection imekuwa gumzo. Kila upande wa wanaouhusika kwenye sakata hili, yaani yeye Dogo Janja na Madee ambaye ndiye aliyehusika kumleta Tip Top na kukabidhiwa na … Read More
  • ULIWAI KUIPATA HIII? YA DAYNAAA   DAYNA   NA HIP  HOP … Read More
  • MZIKI KWELI KAZI Utadhani ni baba anampa kichapo mwanae lakn sio hvyo huyo n msanii akipewa kichapo na producer wake, jina la producer na Deey Classic anafanyia kazi zake kwenye studio ya Rock Town Record iliyopo jijini Mwanza maeneo y… Read More
  • ALICHOKISEMA WASTARA KUHUSU HALI YA SAJUKI   . Maombi ya watanzania pamoja na michango yao ya fedha vimesaidia kumfikisha mwigizaji Sajuki hapa alipo baada ya kupata nafuu kubwa toka apelekwe India kuitibiwa. Wastara akizungumza exclusive na milla… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE