August 13, 2017


Maskini Barnaba Kayaandika Haya Hapa Baada ya Aliyekuwa Mke wake Kumtoa Kasoro zilizofanya amkimbie

By Barnaba
"Mama aliniambia Ukimtukana mwanamke Basi umenitukana na Mimi |- siku zote. nawaona kama mama zangu Hongera wanawake Wote duniani Salamu zangu Juu Yenu jumapili Ya Leo nawapenda Sana Na wale mliopoteza mama zenu Fanyeni Ibada Juu Yao waweze Punguziwa Adhabu Ya Kifo au kufutiwa kabisa Bwana Yesu Asifie Sana Jumapili Ya mungu Tumpe mungu Wacristo Wenzangu"

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE