DAYNA NYANGE a.k.a mkali wao
Baada ya kukosa tuzo hata moja katika mashindano ya Tanzania Kili Music award 2012, mshiriki wa tuzo hizo katika Category tatu mdada toka Mji Kasoro Morogoro Dayna Nyange amesema sasa anaamua kuwapa zawadi mashabiki ya wimbo wake mpya kama sehemu ya shukrani, msanii huyo aliyasema hayo katika ukurasa wake wa FACEBOOK huku akiwaaidi kuwa muda mfupi wimbo huwo utakuwa hewani .
0 MAONI YAKO:
Post a Comment