September 19, 2012











































Msanii anayefahamika kwa jina la Diamond Platinum tunakumbuka kama alipata ziara ya nchini marekani Washington Dc kwa kufanya show yake.Sasa habari ni kwamba msanii amesharejea hapa Tanzania lakini dancer wake bado wanakula bata nchini marekani.Msanii alieleza sababu ambazo zimemfanya mpaka awaache ma Dancer wake nchini marekani huyu hapa anafunguka kama ifuatavyo

"Jibu ni hapana,nimeamua kuwaacha marekani kwa ajiri ya mapumziko ya muda mfupi.Ili waweze kurefresh akili na miili yao kwasababu kiukweli wamefanya kazi kubwa kwa muda mrefu na iliyozaa matunda makubwa...hivyo kwa upendo na Heshima yangu kwao nikaona ni vizuri niwazawadie Mapumziko hayo Nchini AMERICA..... mbali na hayo kuna kingine kikubwa ambacho soon ntawajuza nini wanakifanya pia huko America ili wakirudi wazidi kuleta levolution katika Industry hii ya Muziki Africa"hayo ndiyo maneno ya Diamond Platinum  wa wasafi baada ya kufunguka kuhusiana na ma Dancer wake.

Related Posts:

  • Wagombea warushiana matusi Marekani                      Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump… Read More
  • Fatma Karume: Dk. Shein siyo rais Zanzibar Wakili Fatma Amani Abeid Karume MJUKUU wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, amepinga hatua ya kumtangaza Dk. Alli Mohammed Shein, kuwa rais Visiwani Fatma Amani… Read More
  • Habari za magazeti ya leo Jumamosi 26 March 2016   Habari za Asubhi mpenzi msomaji wa ubalozini.blogspot.com, karibu tena katika ukurasa za magazeti ya leo hii Jumamosi 26 March 2016. Kurasa za magazeti ya leo zimebebwa na habari kubwa mbalimbali   … Read More
  • Wanajeshi 8 mbaroni kwa mauaji    Askari nane wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kigona wakituhumiwa kwa mauaji ya Erick Nilamewa (16) waliyemtuhumu kuwaibia simu moja aina ya Techno na Sh. 6,000. Tuki… Read More
  • Paul Makonda aombewa tena MUFTI wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubery amemuombea dua, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na Rais Dk. John Magufuli ili waweze kulitumikia vema taifa na kuliletea maendeleo. Zubery alimfanyia dua hiyo Makon… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE