September 19, 2012


Ukizungumzia wasanii ambao wanatisha pale kati kwa watoto wa wazuri basi msanii huyu lazima awepo namzungumzia Top in dar au TID anayefanya watu wasilale kwasababu ya ngoma yake kali inayofahamika kwa jina la kiuno.Sasa jana bhana mishale ya jioni hivi nakuta TID akilalamika kwamba mwaka huu kwake umekuwa mbaya kwani ajapata nafasi ya kupiga show za serengeti fiesta wakati wasanii wengine wanapiga kazi na ni mwaka wa 5 sasa ajapiga hata show moja.Hivyo ndivyo TID aliamua ku tiririka kidogo baada ya kuona wasanii wenzake wanapata shavu la kupiga show mikoani.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE