November 06, 2012

DJ  JIWE  PICHANI

    Zikiwa  zimebaki  siku  chache  kufika  kilele  cha  kumpata  mkali  wa  EPIC BONGO STAR  SEARCH 2012,  tamasha  hilo  limeingia  doa  baada  ya  wadau  mbalimbali  kulitoa  kasoro  kibao.
    Kufuatia  kutofwata  kwa  vigezo   na  washiriki  wa  miaka  ya nyuma  kutoonesha  makali  wadau  mbalimbali  wamesema tamasha  hilo  limepoteza  dila  na  halistahili  kuwepo.
  Kwa  upande  wa  DJ mkali  na  mtangazaji  wa  Capital  Radio  ya  jijini  Dar  es  salaam  Jiwe mwanakijiji  maarufu  kama  DJ JIWE  ameandika  katika  ukurasa  wake  wa Facebook  huku  atoa  kasoro  nyingi.
 anasema  jiwe
   Huku  wadau  wengi  wakimuunga  mkono  jiwe  kuhusu  mitazamo  yao  juu  ya  shindano  hilo.
 Anaandika  jiwe na  michongo  ya wadau  mbali mbali.

''kinacho nishangaza kwenye hii EBSS yenu huyu WABABA sijui MBABA mbona yuko kitambo sana kwenye game ama ndo mmempanga mgawane mimilioni?toka TIP TOP leo tunaambiwa anashindana tena kwenye EBSS kama hivyo ndivyo kuna haja gani ya kufanya audition???????????jitu lina albam nzima leo linashindana na watu fresh kabisa halafu mnalimwagia sifa asizostahili kiukweli mmenidisappoint sana asee tuseme mj humjui huyu NURDINE wa kujiita WABABA??????????SHAME ON WABABA''


  • You and 2 others like this.
  • Ahmadi Machaku Dah! Kumbe umeliona ilo kaka? Alafu huwa wananshangaza sana, hawo washnd wao wanaowapataga hatunuoni mafanikio yoyote kwenye mzk wao. Tanzania bwana.. Sijaona bado faida za EBSS
  • Deodat Temba Mwenyewe simwelewi, na ndio watakaempa unadhani jembe
  • Jiwe Mmwanakijiji nilisikia fununu kuwa kaandaliwa nikabisha sana lakini kuna kila dalili za kukubari hilo,huyu jamaa aliwahi kumfata mtu wangu wa karibu sana kumuomba amsimamie baada ya kufukuzwa tip top huku akimuachia albam nzima ya ngoma zake iweje leo ashindanishwe na watu kama wakina walter?kima hivyo ndivyo basi tuwachukue na wakina amini wakashindane kuliko kutufanya mabwege halafu mnatuhamasisha kupiga kura EBSS katika hili wamechemka sana aseeeeeeeeeeeeeeeeeee
  • Novart Juakali Hotsun Mbona salma katoka tht hamsemi?
  • Rogers Rwechungura J Milioni 50 ni pesa nying mno kwenda kwa kapukwa mmoja lazima kiasi kadhaa kibaki mikononi mwa waandaaji, njia mojawapo ni kumwandaa mshindi. Nakumbuka kuna siku MJ alimwambia Wababa kuwa yye alipinga Mbaba kuingizwa ktk 20 bora sasa sijui alimaanisha nin
  • Willex Willibard Bt inaruhcwa any body kushiriki,cunakumbuka George toka Tng pia alishiriki bt akashindwa
  • Agrey Mwenyembegu Halafu kwanza anaimba vitu gani hyo mbaba?Mbona zengwe la njenje hili.....inamaana ndo kusema wao majaji wanajicho la 4 ambalo sisi hatuna?Maana nahisi wanaona ambacho sisi hatukioni kwa hyu jamaa ambaye anaimba nyimbo za ajabu!
  • Tumaini Chayeka Mimi nilikuwa cjui hilo wakubwa kama huyu jamaa ni wa long nifungueni mackio,maana huyu nawac wanamuandalio hiyo 50 au hawa wadada wa familia m1 waweza chukua pia.
  • Agrey Mwenyembegu Hata wakimpa atakuja ishia kama yule wa kwanza tu J4 iddi!
  • Tumaini Chayeka @AGREY weye walonga.
  • Neiomy Peter kwakweli hata me cjui,hii Bss ni kutafuta vipaji au kutafuta wazoefu kwenye mziki ila hawajatoka?
  • Godson Mmanga kaka kama vp tupia mpaka ngoma alizoimba kiukweli hata mimi nilikua cjui hilo kesho watakuja kumpa madee kabisa kwactaili hizi
  • Fatma Miraji Wanataka kumnyima walter jamaa mzuri wasituhanisi kbs huyo mzee cjui mbaba au mbabu hana lolote kweli yaleyale ya j.nne iddy wanatuletea hawana lolote hao ebss!!!!!!
  • Jiwe Mmwanakijiji ndo mana KALA alisema kuwa ni ngumu sana kwa mshindi wa BSS kutusua kwenye game ya kizazi kipya bse most of them hawaoneshi uwezo wao wao wanaonesha uwezo wa kukopi kazi za watu,wababa aka wamama alikuwa akijiita NURDINE lipokuwa tip top connection kama wasipompa ntajua ujumbe huu umewafikia walengwa na huyo salama aliyetoka tht kaimba wimbo gani mbona hajulikani?nenda defetality utamjua wababa ama muulize nay wa mitege kuhusu wababa ama kawaulize tip top mixer nenda mpaka kwa mamu stores kuna kopi ya albam yake tena mbaya zaidi alitakiwa kutoka kabla ya z anto akazinguana na bonge wakaenda kuchukua kila kitu kwenye geto walilokuwa wamempangia ha ha ha ha ha ha ha EBSS ya madam ritha katika hili hakika narudia tena mmechemka sana aseeee
  • Fatma Miraji Ww kwa mtazamo wk nani anastahili kupewa hicho kitita????Jiwe Mmwanakijiji
  • Jiwe Mmwanakijiji nadhani walter ni chaguo la wengi though mimi si muumini wa EBSS bse sijaona ambacho wanaweza kujivunia katika kuibua na kuendeleza vipaji vya wasanii wa kizazi kipya hapa nchini angalia top 5 za zoooooote toka wameanza nani mwenye kuchechemea zaidi ya KALA?bora THT na MKUBWA NA WANAE wanaweza kujivunia uwepo wao kwenye game lakini sio EBSS
  • Tumaini Chayeka Kwa yote sawa mmenena hapo Fatma kanena ongeeni nani haswaa anastaili kabisa hiyo 50.
  • Fatma Miraji Das true yn huwa najiuliza bila majibu nikwanini na nisababu gn ebss hawatoi vipaji badala yk nikutupa burudani kwa ku copy na ku past haya tuangalie vp itakuwa yn master j anajishusha hadhi pale bora ajitoe maana km mchezo wa watoto!!!!!
  • Tumaini Chayeka @Fatma weye nani astaili apate hizo 50.
  • Fatma Miraji Mm nahisi bora walter anajua japo anacopy coz pale ukiimba nyimbo yk ndo kbs utaharibu!!!!!!!
  • Nellynice Mnyiramba hahaha kaka leo nimekukubali wala sijaona pa kukuponda
  • Tumaini Chayeka Mi bado naponda kwani naona hawa jamaa wa ebss hawajafanya lolote bado.
  • Tumaini Chayeka Mi bado naponda kwani naona hawa jamaa wa ebss hawajafa
     
     
    Nini  mtazamo  wako  na wewe?


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE