May 02, 2014

 
 Mtangazaji wa kipindi cha XXL na Bongo Fleva ya Clouds Fm, Adam Mchomvu a.k.a Baba Jonni,siku ya juma pili anatarajia kudondosha mzigo wa video za nyimbo zake mbili ndani ya Maisha Club.
Licha ya wimbo wake wa Jonny kunfanya aonekane zaidi kwa upande wa Muziki, Mchomvu atazindua video mbili, ikiwa ni ya Au Sio  na Una Akili wewe. vido ambazo zimefanya na kampuni mbili tofauti moja ikiwa imesimamaiwa na HK, na nyingine imesimamiwa na Benjamin wa Mambo Jambo.


"Baada ya watu wengi kujua game ninayofanya, na wengi wao kuona kama siko serious, ndio maana kwa sasa nimeamua kuingia katika Mziki kwa miguu yote miwili..." amesema Adam
Mchomvu atazindua video hizo akiwa na wasanii  kibao  kama T.I.D, County Boy, Chege, Juma Nature, KCK, Mirror, Dogo Asley, Godzilla, Weusi na wengineo, huku Kwenye Mc wa show hiyo akiwa ni Fid Q

Related Posts:

  • Rais Kikwete afanya uteuzi mpya    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) atika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe… Read More
  • Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza   Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika ‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa. … Read More
  • Di Maria ajuta kujiunga na Man United    Mchezaji nyota ambaye pia ni kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria amesema kuwa alifanya makosa kujiunga na Kilabu ya Manchester United msimu uliopita. Raia huyo wa Argentina amejaribu kuingian… Read More
  • Tp Mazembe yasajili watatu    Kikosi cha TP Mazembe cha Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo  Timu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo imewasajili wachezaji watatu wapya toka kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast. Nyota … Read More
  • New Audio: Ally Kiba - Chekecha cheketua Baada ya kufanya poa ndani na nje ya Tanzania na wimbo wake wa mwana, Mwanamuziki Ally Kiba sasa amekuja na ngoma yake mpya kabisa inayoitwa Chekecha cheketua. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE