July 21, 2014


diamond 
Wiki iliyopita kupitia mitandao ya kijamii zilitoka stori ambazo zilianzia kwenye 255 ya Clouds Fm ambapo aliulizwa Ally Kiba juu ya uhusiano na msanii mwenzake Diamond Platnumz.
Usiku wa kuamkia July 21 Diamond Platnumz ameandika ujumbe ambao mashabiki wengi wa muziki wa Bongo Fleva wameutafsiri kama majibu juu ya kile alichokisema Ally Kiba wiki iliyopita.
Katika ujumbe huo ambao Diamond kapost kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kaandika
 dimaond

Related Posts:

  • Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa   Mahakama nchini Misri imeamrisha kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak wakati wanaposubiri kesi yao pamoja na baba yao inayohusu ufisadi. Wakili wa Alaa na Gamal Mubarak anasema kwa anatar… Read More
  • New Audio- Mperampera - Mash J ft Stamina Baada ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Rimex ya John iliyoimbwa na yemmy Alade wa Nigeria na yeye kuipa jina la Penny, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Mash J, safari hii imekuja tena na wimbo wake mpera mpera alio… Read More
  • Rais Kikwete kulifanyia marekebisho Baraza la Mawziri    Mawaziri wote wa baraza la mawaziri nchini Tanzania wamezuiwa kusafiri kikazi nje ya Jiji la Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa ni maandalizi ya kukabidhi ofisi kwa mawaziri wapya ambao wanatarajiw… Read More
  • UN: Ugaidi hauna mfungamano na dini maalumu    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, ugaidi haufungamani na dini au madhehebu fulani na kusisitiza kwamba viongozi wote wa dini ulimwenguni wanalaani na wanapinga kwa nguvu zao zote vit… Read More
  • Zifahamu club 10 tajiri Ulaya,Real Madrid yaongoza   Real Madrid imeibuka kama klabu tajiri zaidi ulaya kulingana na orodha iliyotolewa na Deloitte Football Rich kwa miaka kumi mfululizo. Manchester United imetoka nafasi ya nne hadi ya pili katika orodha hio, kul… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE