Tundajema [kulia] mtoto wa mkubwa wa Afande sele na marehemu mamA Tunda ambaye
anasoma moja ya shule za sekondari Jijini Darakifarijiwa na mmoja wa ndugu zake
Rais wa Shirikisho la wasanii wa
filam nchini'TAFF' Saimon Mwakifwamba[kati] akimfariji Afande Sele,
anayeshuhudia tukio hilo ni Ahmed Machaku
Ahmad Machaku akimfariji Afande Sele
Kigogo wa bongo Movie mkoa wa
Moro,Chediel Senzighe[MC Mabwangaa]kulia akiwasili eneo la msiba na Rais
wake Mwakifwamba [kati]na [kushoto] ni Asha Manga
Akiangulia kilio baada ya kuweka udomngo huo
Bi,Amina Rajab Sululu ambaye ni mama mzazi wa marehem akihojiwa na Mtandao huu
Baba mzazi wa marehem Bw Mohamed Rajab
Shiengo ambaye ni makamo mkuu wa chuo cha Mipango Fedha na Uchumi
Kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani akihojiwa na Mwandishi wa
habari hizi.
Picha kwa hisani ya DUSTANSHEKIDELE
0 MAONI YAKO:
Post a Comment