Waziri wa Afya wa Tanzania Seif Rashid amesema kuwa wagonjwa hao waliohisiwa kupata maambukizo hayo kutokana na dalili za awali ni wa kutoka Benin na Mtanzania,lakini baada ya vipimo wameonekana hawana maambukizo hayo.
Vifaa maalumu vitakavyotumiwa na watoa huduma katika kuhudumia wagonjwa, vimewekwa pia,Wizara ya Afya pia imeongeza uwezo wa kufanya uchunguzi,katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere,ambao wasafiri wengi kutoka nje huutumia.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment