Albert Reynolds enzi za uhai wake.
ALIYEWAHI kuwa Waziri Mkuu wa Ireland kwa miaka mitatu, Albert
Reynolds amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81. Kiongozi huyo
aliyewahi kuongoza Chama cha Fianna Fáil na kushinda Tuzo ya Amani ya
Nobel pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha (1988–91), Waziri wa Viwanda na
Biashara (1987–88), Waziri wa Viwanda na Nishati (1982), Waziri wa
Usafirishaji (1980–81) na Waziri wa Posta na Simu (1979–81).August 21, 2014
2:46 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
USHAWAHI KUISKIA HII YA DIDA FACION DIDA FACION Kama wewe ni mdau wa Bongo fleva huwezi kuwa mgeni na jina ili, ni mwana dada jasiri na aliye mstari wa mbele katika kuhakikisha anakuza sanaa ya bongo hasa kimataifa maalufu kama Dida Facion, ku… Read More
TAZAMA WASANII BONGO MOVE WALIPOTEMBELEA BBC Bongo movie kama inavyojulikana sasa nchini Tanzania inazidi kushamiri kadri miaka inavyozidi kwenda. Filamu hizo zinaozigizwa kwa lugha ya Kiswahili hutazamwa na wazungumzaji wa lugha hiyo ndani na nje ya Tanz… Read More
VP TENA FID Q NA DAYNA NYANGE??? SIKILIZA HAPA Kutokana na sababu ambazo zilikua nje ya uwezo hukusikiliza You heard ya jana Mei 20 sikuiweka hapa ,sasa kwa kuwa nipo kwa ajili yako na sipendi upitwe na kitu,You heard ya jana ilikua inamhusu Fid Q na Dayna n… Read More
TAZAMA HAPA VIDEO MPYA YA MFALME WA BONGO FLEVA, MB DOG- UMENUNA TAZAMA HAPA … Read More
17 WAUAWA KATIKA SHAMULIZI NIGERIA NIGERIA: Watu 17 wameuawa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya kijiji kimoja Kaskazini Mashariki mwa… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment