Albert Reynolds enzi za uhai wake.
ALIYEWAHI kuwa Waziri Mkuu wa Ireland kwa miaka mitatu, Albert
Reynolds amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81. Kiongozi huyo
aliyewahi kuongoza Chama cha Fianna Fáil na kushinda Tuzo ya Amani ya
Nobel pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha (1988–91), Waziri wa Viwanda na
Biashara (1987–88), Waziri wa Viwanda na Nishati (1982), Waziri wa
Usafirishaji (1980–81) na Waziri wa Posta na Simu (1979–81).August 21, 2014
2:46 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Maandamano ya Kumtaka Rais wa Korea Kusini Ajiuzulu yaingia Wiki ya Pili Maelfu ya watu wanaendelea kuandamana katika mitaa mbalimbali ya mji mkuu wa Seoul, Korea Kusini kwa wiki ya pili mfululizo wakimtaka Rais wa nchi hiyo, Park Geun-hye ajiuzulu. Mandamano ya jana yalitarajiwa kuwa maku… Read More
Tetemeko kubwa lakumba taifa la New Zealand Tetemeko kubwa la ardhi limepiga kisiwa cha Kusini mwa taifa la New Zealand. Shirika la usoroveya wa maswala ya ardhini nchini Marekani limesema kuwa tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.4 katika vipimo vya Ri… Read More
News: CUF Morogoro Mjini watoa tamko kuhusu maamuzi ya baraza kuu, Walaani kitendo cha Lipumba kuvamia ofisi za Cham Taifa Zena Mswagala Chama cha Wananchi CUF Wilaya ya Morogoro Mjini, imetoa tamko lake juu ya msimamo wa Baraza kuu la uongozi CU taifa. Wakitoa tamko hilo kwa wana habari leo hii 13 November CUF Morogoro wam… Read More
Baad ya Donald Trump kushinda urais wa Marekani, kuna hili jipya kabisa EXCLUSIVE Donald Trump's inauguration may have certain segments of society worried, but those most immediately affected will be D.C. nightclub owners. It doesn't take a rocket scientist ... hoards of celebs were … Read More
Live Match: Zimbabwe V/S Tanzania tazama hapa Timu ya taifa ya Tanzania leo inapambana na Zimbawe katika mechi ya kirafiki. Kutama mchezo unavyoendelea Bofya hapo chini BOFYA HAPA KUUTAZA,MA MECHI … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment