Huu
utakua mkoa wa 4 kwenye list ya miji 18 ambayo watapata nafasi ya
kuonja utamu wa Serengeti Fiesta 2014,ilianzia Mwanza ikafuata Bukoba
ikasogea hadi Kahama na sasa ni zamu yao Tanga. Tanga itakua ni Jumamosi hii August 23 kwenye viwanja vya
Mkwakwani,hizi ni shamra shamra za Serengeti Fiesta ambapo Clouds Fm iko
live kutokea hapo wakiongozwa na Adam Mchomvu,Gea Habib na Bonge.
NEW AUDIO// CHEGE & TEMBA - KAUNYAKA
Wimbo mpya kutoka kwa Chege na Temba - Kaunyaka. Download hapachini ili upate kuskia awa jamaa wamezungumzia kitu gani katika huu wimbo wao??:
…Read More
TUKIO LINGINE NCHINI UFARANSA BAADA YA LILE LA AWALI
Huku maafisa wa polisi wakiwazingira
washukiwa wawili wa ugaidi , kuna taarifa mpya kwamba Mwanamume tofauti
aliyejihami kwa bunduki, amewateka nyara watu ndani ya duka mjini Paris
Washukiwa wanaozingirwa ni wale …Read More
UMESKIA HII KUHUSU MTANDAO WA WHATSAPP?? INGIA HAPA
Kila siku zaidi ujumbe billioni 30
wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na
afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.
Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.
…Read More
KUMBE HAPA BIASHARA YA UKAHABA NI HALALI!! INGIA HAPA
Ni Biashara halali kabisaaaa katika Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo Ukahaba.
Hata hivyo jamii sasa imeanza kulalamika kwamba kutolewa ruhsa kufanya ukahaba kumeathiri maadili ya kijamii kwa sasa watoto chini ya u…Read More
ZARI: SIJAWATELEKEZA WATOTO WANGU, NAKAA NAO SIKU 300
Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza
watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi
karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya.
Zari a…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment