Leo hii December 24 ubalozini.blogspot.com inaungana na millardayo.com kukupa vichwa vya
habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headlines mpya
kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa
kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo
Meneja wa Trey Songz azungumza haya kuhusu Diamond Platnumz
CEO wa kampuni ya KWL Management inayowasimamia wasanii wakubwa wa Marekani wakiwemo Trey Songz na Big Sean, Kevin Liles, amefunguka kwenye Twitter kuhusiana na ukaribu alionao na Diamond.
Kupitia session yake ya #…Read More
Habari katika magazeti leo hii jumatatu 23 Mei
Habari za Jumatatu ya leo ya 23 Mei 2016. Karibu katika kurasa za magazeti ya leo hii tulizokukusanyia katika magazeti mbalimbali ya hapa nchini. Habari kubwa zilizobeba uzito na kuwekwa katika kurasa za mwanzo na za mwis…Read More
Mashindano ya Big Brother Africa yavunjwa
Kama ulikuwa unasubiria kuona mashindano ya Big Brother Africa basi pole sana sababu kwa mwaka huu hayatakuwepo.
Mashindano ya Big Brother yametokea kuwavutia watu wengi kutokana na
kukutanisha washiriki wanaotoka matai…Read More
Nyota Ndogo afunga ndoa na mchumba wake
Muimbaji wa Kenya, Mwanaisha Abdalla maarufu kama Nyota Ndogo amefunga ndoa weekend hii.
Muimbaji huyo wa ‘Watu na Viatu’ sasa ni mke halali wa mchumba wake Henning Nielse…Read More
Tanzia: Mwandishi wa Global Makongoro Oging’ Afariki Dunia
Makongoro Oging’ enzi za uhai wake.
Makongoro Oging’ enzi za uhai wake akiwa na wakili Mabere Nyaucho Marando (kushoto).
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, watayarishaji wa
magazeti ya Ijumaa Wik…Read More
DIWANI WA KATA YA MSHANGANO AJIUZULU
-
Diwani wa Kata ya Mshangano ,Samuel Mbano akionesha barua ya kujiuzulu
Diwani wa Kata ya Mshangano ,Samuel Mbano aliyejiuzulu kupitia Chama Cha
Mapind...
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment