Majaji wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya ICC hii leo wanatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya makamu wa zamani wa Rais wa Congo Jean- Pierre Bemba anaetuhumiwa kwa ubakaji na mauaji yaliyofanywa na wanajeshi wake katika nchi jirani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kipindi cha zaidi ya muongo mmoja uliopita.
Ngoma Mpya : INAGA MLYAMBELELE - MJA NA NDEGE, BAADA YA KUPONA!
-
Hii hapa ngoma ya Inaga Mlyambelele baada ya kupona!
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment