Majaji wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya ICC hii leo wanatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya makamu wa zamani wa Rais wa Congo Jean- Pierre Bemba anaetuhumiwa kwa ubakaji na mauaji yaliyofanywa na wanajeshi wake katika nchi jirani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kipindi cha zaidi ya muongo mmoja uliopita.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAHITIMISHA ZIARA YA UKAGUZI
WA MIRADI YA UMEME MKOANI NJOMBE
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekamilisha ziara yake ya
siku tatu mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi ya Nishati
Vijijini (R...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment