April 06, 2016

shetta
   
Mwanamuziki ambaye anatikisa na ngoma ya Shiko robo, Shetta, amejikuta kwenye hali ya kumwagiwa matusi baada ya kutupia picha hiyo hapo juu akimnyonya mwanamke huyu denda na kuandika "My lovely wife....!! #MamaQayllah"
Account hiyo ya Shetta hakuwa na picha yoyote kwa wakati huo mbali na picha hiyo ambayo baadaye aliweza kuifuta na kupost tangazo la radio moja nchini ambalo ndilo lipo hadi hivi sasa.

Matusi aliyo shushiwa ni kwanini amefanya hivyo.
..
@kenedyjohn31 Usenge m2pu Islamic gani wewe usie na haya boya wewe

@kenedyjohn31 Nay hajakosea hata kdogo

@pacha_wa_mama_yangu Kaz ipo kule shoga yangu mi ngachokaa

@manzyleah_17@officialkibadeus Jieshim

@officialshetta@chalzbwax Amna kitu

@salmakisoma@lucy_de_jose Oky ,,days cute,c kasema mkewe jamn,,,,,

@iddmejaji Heshima gani ss hio ama kweli ukiwa mshamba unakuwa mshamba wa kila kitu duh pole ni utoto ukikua utaacha...

@jesejohn Upumbavu mtupu

@johnn_mwangi Kuna wasanii wadanada ila sheta kazidi#shika adabu yako..

@hazeemabdulazizi Kweli sio maadili ya watanzania ivyo mbona unataka kujishusha thamani

@amyrashaeyz wamerudiana
shetta

Related Posts:

  • Rais aondoa marufuku ya nyweleMarufuku hiyo ilikuwa imetolewa mapema mwezi huu Rais wa Gambia Yahya Jammeh ameondoa agizo la kuwataka wafanyakazi wa kike serikalini wawe wakijifunika nywele wakiwa kazini. Marufuku hiyo, iliyotolewa tarehe 4 Januari, … Read More
  • Tanzia: Celine Dion afiwa na mumewe Rene Angelil alihudumu kama meneja wa Celine Dion hadi 2014 Rene Angelil, mume wa mwanamuziki mashuhuri duniani Celine Dion, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, mwanamuziki huyo ametangaza. Bw Angelil, aliyemuoa Dion … Read More
  • Baadhi ya wanaotumia Internet Explorer hatarini Inakadiriwa kwamba watu 340 milioni wanatumia matoleo hayo Microsoft imetangaza kwamba imeacha kutoa usaidizi wa kiufundi kwa matoleo ya awali ya kisakuzi chake cha Internet Explorer na kuwaweka hatarini mamilioni ya watu wan… Read More
  • Tumekuwekea hapa Magazeti ya leo hii upitie japo kwa ufupi tu Habari ndugu yetu mpendwa. Karibu katika magazeti yetu ya leo hii Ijumaa January 15 2016 upitie japo kwa ufupi tu kile kilichopewa kipaumbele leo hii. Share na mwenzio … Read More
  • Whatsapp na viber kudhibitiwaWhatasap ina watumiaji Zaidi ya milioni kumi nchini Afrika Kusini Mitandao ya whatsapp na viber huenda ikadhibitiwa Afrika Kusini ikitegemea matokeo ya vikao vya bunge baadaye mwezi huu, umeripoti mtandao unaoheshimika wa Fin… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE