August 16, 2016

Staa wa Nigeria, Wizkid, amethibitishwa kuwa atatumbuiza kwenye show ya Fiesta, Mwanza mwishoni mwa wiki hii.
Clouds FM wamethibitisha kumdondosha hitmaker huyo wa ‘Shabba’ Jumamosi, August 20.

“Kituuuuuuu #DealDone kwa mara ya kwanza ndani ya Mwanza #StarBoY wako @wizkidayo utatapata kumshuhudia LIVE juu ya jukwaa la #Fiesta2016 #Imooooo,” wameandika Clouds.

Related Posts:

  • ALICHOKISEMA WASTARA KUHUSU HALI YA SAJUKI   . Maombi ya watanzania pamoja na michango yao ya fedha vimesaidia kumfikisha mwigizaji Sajuki hapa alipo baada ya kupata nafuu kubwa toka apelekwe India kuitibiwa. Wastara akizungumza exclusive na milla… Read More
  • ULIWAI KUIPATA HIII? YA DAYNAAA   DAYNA   NA HIP  HOP … Read More
  • TIP TOP KUFUTA NYIMBO ZA DOGO JANJA??? Jana na juzi habari ya Dogo Janja kufukuzwa Tip Top Connection imekuwa gumzo. Kila upande wa wanaouhusika kwenye sakata hili, yaani yeye Dogo Janja na Madee ambaye ndiye aliyehusika kumleta Tip Top na kukabidhiwa na … Read More
  • OSTAADH JUMA NA MSOMA KUMRUDISHA DOGO JANJA TOWN Dogo Janja akiwa kwenye basi kurudi kwao Arusha June 13 2012. Pamoja na kwamba aliapa hatorudi tena Dar ni bora aende kuishi kwao Arusha baada kutoridhika na vitu alivyokua akifanyiwa na Meneja Madee wa Tip Top Connecti… Read More
  • MZIKI KWELI KAZI Utadhani ni baba anampa kichapo mwanae lakn sio hvyo huyo n msanii akipewa kichapo na producer wake, jina la producer na Deey Classic anafanyia kazi zake kwenye studio ya Rock Town Record iliyopo jijini Mwanza maeneo y… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE