Hawa ni Baadhi ya majeruhi waliojeruhiwa katika maafa ya tetemeko la
ardhi mjini Bukoba wakipatiwa huduma ya kwanza mapema leo jioni nje ya
hospitali ya mkoa huo baada ya wodi kujaa majeruhi habari zinasema mpaka
sasa watu kadhaa wamefariki dunia.
AGNESS MASOGANGE AAHIDIWA NDOA MARA ATAKAPOTUA BONGO
MCHUMBA wa ‘video queen’ maarufu Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange ‘,
Evance Komu amefungua kinywa chake na kusema; siku mchumba wake huyo
atakapotia miguu nchini, wanafunga ndoa.Masogange kwa sasa (juzi)
yupo…Read More
DJ JD THE LEGEND IS BARCK 1St ANNIVERSARY
Pia ni kila ijumaa na jumaamosi, DJ JD akikupa zile za kitambo kile ndani ya Isumba Lounge zamani Jolies Club, kamata fursa Twenzetu mpaka Isumba na DJ JD. Noma sana
…Read More
DAYNA NYANGE, IZZO B, PNC WANUSURIKA KUFA
Gari iliyopata ajali
Wasanii wa tasnia ya mziki wa bongo Fleva, Dayna Nyange, PNC, Izzo B na wasanii wengine, leo wamenusurika kufya kufwatia gari waliyokuwa wakisafilia kupata ajali maeneo ya B…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment