
Hawa ni Baadhi ya majeruhi waliojeruhiwa katika maafa ya tetemeko la ardhi mjini Bukoba wakipatiwa huduma ya kwanza mapema leo jioni nje ya hospitali ya mkoa huo baada ya wodi kujaa majeruhi habari zinasema mpaka sasa watu kadhaa wamefariki dunia.
Machaku
Mbwana Samatta atajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora Afrika 2017
Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF imetaja orodha ya wachezaji 30,
watakao wania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2017 huku jina la
mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta anayecheza K… Read More
Nay wamitego aitabilia kifo Bongo Fleva
Msanii Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa ndani ya miaka miwili au
mitatu inayokuja anaona wazi muziki wa bongo fleva unakwenda kufa kama
ambavyo tasnia ya filamu bongo ilivyokufa kwa kile anachodai wasan… Read More
Sikupata barua yoyote kutoka CCM ya kunifukuza – Mh. Nyalandu
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amesema kuwa
hajawahi kupata barua yoyote kutoka CCM inayomfukuza unanacha kama
inavyodaiwa.
Mh. Nyalandu ameiambia Bongo5 leo, kuwa ndani ya
chama hicho huwa … Read More
M 2 The P awachana wasanii wa kiki
Msanii wa muziki Bongo, M2 The P amewatolewa uvivu wasanii wanaondekeza kiki hadi kusahau kufanya muziki wao.M2 The P ameseme iwapo msanii anafanya hivyo awe na kazi nzuri zinazoeleweka na siyo kiki tu wakati hata kazi za… Read More
New Music: Yemi Alade ft. Youssoupha – Hustler
Anatambulika kwa jina la Mama Afrika, lakini jina lake ni Yemi Alade. Ametuletea wimbo wake mpya unaitwa Hustler hapa akimshirikisha mwanamuziki Youssoupha.
Listen Up and Enjoy
… Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment