June 27, 2017

 
Mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe Donald Ngoma aliyeripotiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu Polokwane City ya Afrika Kusini akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam usiku huu Ngoma ambaye pia anatakiwa na mahasimu, Simba amepokewa na wanachama wa Yanga, Mzee wa Mpunga na Kaisi


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE