May 03, 2018

 
Mbwembwe za Haji Manara zimeanza kumponza. Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi, imempa onyo kali Mkuu huyo wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba kwa kosa la kuingia uwanjani.
Kiongozi huyo alifanya kosa hilo Jumapili iliyopita wakati wa mechi ya watani wa jadi ambapo Simba aliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga.
Katika barua hiyo iliyotolewa imemtahadharisha kiongozi huyo kwa kuendelea kufanya matukio mengine kama hayo na endapo ataendelea kamati hiyo itachukua hatua kali za kinidhamu dhidi yake. Soma barua hiyo hapa chini:

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE