August 05, 2018

Image may contain: 7 people, people smiling, people standing 
Kinyang'anyiro cha kumpata miss kanda ya Ziwa maarufu miss Lake Zone  2018, zimefikia tamati usiku wa kuamkia leo baada ya mrembo toka Mwanza Sharon Headlam kuibuka kidedea katika shindano hilo. Bibie. Sharon ataungana na washindi wengine watatu kwenda kushiriki NewMissTanzania2018 hivi karibuni

Image may contain: 1 person, smiling, sitting

Related Posts:

  • Kocha bora anatoka hapa   Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA, wametangaza majina ya makocha watatu waliobaki katika kinyang’anyiro cha kuwania. Tuzo ya Kocha Bora wa Dunia mwaka 2016 ambapo mshindi atatangazwa Januari,9,2017 huko … Read More
  • WhatsApp haitofanya kazi kwenye simu hizi hadi mwishoni mwa mwaka huu WhatsApp imetangaza kuwa haitofanya kazi tena kwenye baadhi ya simu za kizamani hadi mwishoni mwa mwaka huu. App hiyo imetangaza kutozisupport tena zimu zinazotumia mifumo ya zamani ya Windows, Android na Apple hadi Janu… Read More
  • Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mabalozi 21   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. John Pombe Magufuli leo, amefanya uteuzi wa Mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Akiitoa taarifa hiyo kwa wana Habari Mkurugenzi wa Mawsiliano Ikulu Ndugu Gerson… Read More
  • NMB Yadhamini Semina ya Bloggers BENKI ya NMB imedhamini semina ya Wamiliki wa Mitandao ya Kijamii nchini Tanzania maarufu kama ‘Bloggers Network’ (TBN) ambapo imetoa hundi ya shilingi milioni kumi. Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Ofisa Uhusiano wa B… Read More
  • Video: Maiti yagoma kuzikwa   Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni. Hii imetokea huko nchini Kenya ambapo maiti moja imegoma kuzikw akama ilivyopangwa. Tazama Video hapa               &nb… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE