
TIGO NA CLOUDS TENA: NI VIBE KAMA LOTE.
Taa ya kijani imewaka, honi zinasikika kushtua kila dereva aliyekuwa hajakaa mkao wa kusepa, nchi yote inaweka gia ya kusogea mbele, penye kiza nuru imewaka, penye upweke tumaaini linawekwa: ni #VibeKamaLoteeeee
Kwenye makao makuu ya kampuni kinara kwenye mawasiliano, Tigo Tanzania msimu wa #TigoFiesta2018 umetangazwa rasmi. #Tigo wametangaza kudhamini tukio hilo kubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati, ikiwa ni mwaka wa 3 mtawalia. #VibeKamaLoteeeeee ,
Taa ya kijani imewaka, honi zinasikika kushtua kila dereva aliyekuwa hajakaa mkao wa kusepa, nchi yote inaweka gia ya kusogea mbele, penye kiza nuru imewaka, penye upweke tumaaini linawekwa: ni #VibeKamaLoteeeee
Kwenye makao makuu ya kampuni kinara kwenye mawasiliano, Tigo Tanzania msimu wa #TigoFiesta2018 umetangazwa rasmi. #Tigo wametangaza kudhamini tukio hilo kubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati, ikiwa ni mwaka wa 3 mtawalia. #VibeKamaLoteeeeee ,
Ndiyo Post ya kwanza, iliyoandikwa katika page ya Clouds ya Instagram,ikiutaarifu umma wa watanzania kwamba sasa rasmi Milango ya Fiesta imefunguka na kuanza kuunguruma siku ya Jumamosi 29 September na mkoa uliopata bahati ya kukata utepe kwa msimu huu ni Morogoro.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment