April 12, 2014

Wananachi wa kata ya Mwembesongo wakitemebe kwenye maji baada ya barabara ya kichangani kujaa maji
wakitoa maji yaliyojaa dukani kwao



 Bi,Hasma Ndehele ambaye ni Kigogo wa CCM kata ya Mji Mpya akiwa hoi baada ya mafuriko kuvamia nyumbani kwake muda huu
 Masela wakijaribu kufukua mifereji kwa majembe



 Mama Mjanzto akiwa na wanae akiangalia maji yakiendele kujaa kwenye nyumba yake

 Bodo boda zikipita kwa shida kwenye barabara hiyo inayotoka kituo ch polisi Msamvu kueleka kichangani
  Wanafunzi wa shule ya Msingi mwenmbeso wakishikana mikono kueleka nyumbani kwao baada ya maji  yanayovuma kwa kasi barabara ya Kichangani kuwashinda nguvu
HAIJAWAHI kutokea kwa miaka ya hivi karibuni mkoani hapa mvua kunyesha mfurulizo ambapo toka jana majira ya saa saba mchana mpaka  leo mvua inaendelea kunyesha mfurulizo jambo lililosababisha mitaa mbali mbali ya Manispaa hiyo kukumbwa na mafuriko.

  Na Dustan Shekidele

Related Posts:

  • Mzee Yusuph afichua siri ya mchezo Mfalme wa Taarab nchini na kiongozi wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuph, amesema sababu za bendi yake kupendwa ni utunzi mzuri wa nyimbo zao. Mzee Yusuph ambaye June 13 kwenye tuzo za muziki za Kilima… Read More
  • Ainea kuja na Juddy wiki hii     Mwanamuziki wa kizazi kipya toka mkoani Dodoma Aine wa sinampango naye, yupo mbioni kuachia ngoma yake mpya ya Juddy aliyomshirikisha Dullayo. Akitia Story na blog hii, Ainea amesema ameamua kuja na Dullayo k… Read More
  • Happy Birth day to u Zinedine Zidane   Zinedine Zidane a.k.a Zizou amezaliwa June 23 mwaka 1972 na hadi leo amefikisha miaka 43. Zidane ameoa mwaka 1994 mke wake anaitwa Veronique Zidane. Hadi leo wana watoto wanne ambao ni Enzo Fernandez, Theo Zidane,… Read More
  • TFF yamtangaza Boniface Mkwasa kuwa kocha mpya wa Taifa Stars Shirikisho la soka nchini, TFF, Jumanne hii limemtangaza rasmi Boniface Charles Mkwasa kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars. Mkwasa atasaidiwa na Hemed Morocco kutoka Zanzibar. Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TF… Read More
  • AY: awashauri Diamond na Alikiba Rapper Ambwene Yesayah maarufu kama AY ametoa ushauri kwa Diamond na Alikiba kuweka tofauti zao pembeni na kufanya muziki pamoja. AY ametoa ushauri huo baada ya kuulizwa na shabiki kupitia Kikaangoni cha EATV aliyetaka… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE