Msanii
nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu
kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza
na Bongo5 leo Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na
mtoto anaendelea vizuri. “Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Namshukuru Mungu nimejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
Tanzia: Mzee Majuto amefariki Dunia
MSANII nguli wa vichekesho Tanzania, Amri Athuman ‘Mzee King Majuto’
amefariki dunia majira ya saa 2:00 usiku huu wa Agosti 8, 2018 katika
Hospitali ya Taifa, Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu kwa
siku ka…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment