Msanii
nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu
kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza
na Bongo5 leo Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na
mtoto anaendelea vizuri. “Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Namshukuru Mungu nimejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
AFCON: Mali wafanikiwa kutetea taji lao
Michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika chini ya miaka 17 AFCON , imemalizika usiku huu nchini Ghabon na Timu ya taifa ya Mali wameweka rekodi baada ya kufanikiwa kutetea ubingwawao kwa kuifunga tim…Read More
Taifa Star kwenda Misri bila Mkuide
Kikosi cha wachezaji 21 wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania ‘Taifa
Stars’ kinachodhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti, kinatarajiwa
kuondoka kesho Jumanne saa 10.45 jioni kwenda Misri.
Taifa Stars
ambayo itakuwa…Read More
Brand New Video: Wonder J - Alert
Mwanamuziki Wonder J kutoka nchini Nigeria, ni moja ya wasanii wanaokuja kwa kasi sana ya mageuzi ya kimuziki nchi humo. Ni mwanamuziki aliyeanza kukubalika sana nchi mwao. Ametoa nyimbo mbalimbali lakini hapa kati…Read More
Korea Kaskazini yafanya tena jaribio la kombora
Korea Kaksazini imefanya tena jaribio la kombora
la masafa mafupi kuelekea Japan. Kombora hili ni la tatu kurushwa na
Korea Kaskazini katika kipindi cha wiki tatu.
Korea Kaskazini imeendelea…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment