Msanii
nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu
kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza
na Bongo5 leo Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na
mtoto anaendelea vizuri. “Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Namshukuru Mungu nimejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
hambulio La Kigaidi Niger Watu wanane wafariki dunia
Watu kumi na nane wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya kutokea
shambulio la kigaidi Kusini-Mashariki mwa Niger, karibu na mpaka na
Nigeria.
Shambulio hilo linahusishwa wanajihadi wa kundi la Islamic State, kundi…Read More
Wengine watatu watimuliwa kazi TRA
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majaliwa Kassim
Majaliwa, amewasimamisha kazi watumishi wengine watatu wa Maml…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment