Msanii
nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu
kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza
na Bongo5 leo Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na
mtoto anaendelea vizuri. “Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Namshukuru Mungu nimejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
Mahakama yapinga mapinduzi
Mahakama kuu yapinga mapinduzi Madagascar
Mahakama ya kikatiba nchini Madagascar imefutilia mbali uamuzi wa bunge kumfuta kazi rais Hery Rajaonarimampianina.
Mahakama hiyo ilitamka kwa…Read More
Makamba aitikisa Ruvuma,apata udhamini wa watu 3550
Pichani
juu na chini ni Mh. January Makamba akihutubia wanachi na wanachama wa
CCM mkoani Ruvuma mara baada ya kabidhiwa fomu yenye sahihi za wanachama
waliomdhamini.
Na Mwandishi Wetu
M…Read More
Mini Power Roulette ni ushindi
-
Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu
Zaidi, kupitia sloti...
The post Mini Power Roulette ni ushindi first appeared ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment