Msanii
nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu
kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza
na Bongo5 leo Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na
mtoto anaendelea vizuri. “Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Namshukuru Mungu nimejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
Shs. Milioni 140 zatumika kuwalipa Watumishi Hewa
Wilaya ya Maswa imebaini watumishi hewa sita katika mamlaka ya maji
na usafi wa mazingira katika zoezi la uhakiki watumishi linaloendelea
ambapo mishahara yao imekuwa ikilipwa kwa kipindi cha miwili, 2013 na …Read More
Clouds media wamtembelea Chid Benzi Bagamoyo
Wanafamilia wa #CloudsMediaGroup kutoka katika vipindi vya #PowerBreakFast #Clouds360 na #Harakati
wametembelea kituo cha Life &hope Rehabilitation centre "Bagamoyo"
mahali ambapo Rapa Chidy Benz anapa…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment