Msanii
nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu
kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza
na Bongo5 leo Keisha,amesema anashukuru Mungu amejifungua salama na
mtoto anaendelea vizuri. “Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume katika
hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni. Namshukuru Mungu nimejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri,” amesema.
VICENT KIGOSI( Ray the greatest) " KUJA NA SISTER MARRY
Baaada ya sinema ya Woman of Principels kufanya
vizuri sokoni sasa ni wakati wa sinema bora kuingia mtaani jina ni
Sister Marry ni sinemma yenye story ya kipekee sana kama kawaida ya
kampuni yako RJ Company kufanya k…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment