February 25, 2016

                        

Wanajeshi wa Israel wameripotiwa kumuua afisa wao mmoja wa jeshi kimakosa wakati wa mapambano na Wapalestina.

Kulingana na taarifa zilizotolewa na kituo cha redio ya Israel, iliarifiwa kuuawa kwa afisa huyo mkuu wa jeshi kwa kufyatuliwa risasi na wanajeshi wenzie walipokuwa wakiwalenga Wapalestina.

Jeshi la Israel pia lililotoa maelezo na kuthibitisha kuuawa kwa afisa huyo mkuu kwenye mapambano na Wapalestina.

Wapalestina waliojeruhiwa kwenye tukio hilo nao wanaarifiwa kufikishwa hospitalini kwa ajili ya matibabu.

Related Posts:

  • VIDEO | Agatha Mbale - Wape Habari Mwanamuziki wa Hip Hop toka mji kasoro Bahari Morogoro, Agatha Mbale ametuletea video ya wimbo wake mpya unaitwa Wape Habari, Huu hapa tumekuwekea                … Read More
  • Kombe la Shirikisho Afrika, Azam kanyaga twende   Klabu ya Azam imefuzu hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Fasil Kenema ya Ethiopia katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Chamazi Complex, Dar es Salaam. Mabao ya Az… Read More
  • Hit Song:Watabamba - Jimmy flavour ft Blacqboi beats Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini … Read More
  • New Audio: Roma ft One Six - Anaitwa ROMA Mlisema maeacha, sasa ameanza upyaaaaaaaaa. Ni wimbo mpya kabisa wa ROMA unaitwa Anaitwa Roma akimshirikisha mwanamuaziki ONE 6. Listen to Roma_ft_one_six_anaitwa_roma- Machaku Media byAhmadi Machaku on hearthis.at … Read More
  • New Audio: Baba wa Taifa - Zombie ft Bestiny Tanzania Tukiwa tunaadhimisha miaka ishirini ya kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa. Mwanamuziki toka mkoani Morogoro Zombie ametuletea wimbo maalum … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE