June 29, 2016

Morgan Tsvangirai atangaza kuwa na saratani
Kiongozi wa  chama cha upinzani cha Vuguvugu yenye mabadiliko na Demokratia  (MDC) nchini Zimbabwe Morgan Tsvangirai mwenye umri wa miaka 64 atangaza na kuthibitisha ya kwamba kama ana ugonjwa wa saratani ya uti wa mgongo.
Hayo aliafahamisha katika mkutano na waandishi wa habari June 27 mjini Harare nchini Zimbabwe.
Ifahamike ya kwamba Morgan Tsvangirai aliwafahamisha wanachama wa MDC pamoja na raia wa Zimbabwe ya kwamba ni muhimu kuweka wazi hali yake ya Afya na kuahidi  kama atapambana na maradhi hayo.

Related Posts:

  • DAZ MWALIMU, ADATA Habari kutoka kwa chanzo cha uhakika zinadai kuwa msanii wa zamani wa kundi Daz Nundaz na hitmaker wa ‘Figure Namba 8′ Daz Baba amechanganyikiwa kutokana na hivi karibuni kuonekana akifanya vitendo ambavyo havilingan… Read More
  • FIESTA MBEYA HAPATOSHI Msanii wa muziki wa kizazi kipya,ambaye kwa sasa anafanya vyema kwenye anga za muziki huo,Neylee akiimba kwa hisi jukwaani huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea kwa shangwe ndani ya uwanja wa Sokonine. … Read More
  • HUU NI UNYAMA AZALIA CHOONI NA KUUA KICHANGA KWELI dunia inakwenda ukingoni, mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu, amefanya kitendo cha kinyama baada ya kujifungua msalani na kukiua kichanga chake. Tukio hilo limetokea hivi karibuni maeneo ya Mazizini, … Read More
  • TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 NOMA SAANA NDANI YA IRINGA USIKU HUU Anaitwa Shilole na Skwadi lake wakilishambulia jukwaa vilivyo usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013       Pichani ni sehemu ya wakazi wa Mkoa Iringa na vitongoji vyake wakiw… Read More
  • HII KALI, MUME AMRUHUSU MKEWE AJIUZE ILI WAPATE PESA YA CHAKULA KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, hivi karibuni mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Aisha (26), mkazi wa Tabata, Dar es Salaam alinaswa akifanya ukahaba na kudai kwamba ana ruhusa kutoka kwa mumewe ambaye … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE