
Kiongozi
wa chama cha upinzani cha Vuguvugu yenye mabadiliko na Demokratia
(MDC) nchini Zimbabwe Morgan Tsvangirai mwenye umri wa miaka 64
atangaza na kuthibitisha ya kwamba kama ana ugonjwa wa saratani ya uti
wa mgongo.
Hayo aliafahamisha katika mkutano na waandishi wa habari June 27 mjini Harare nchini Zimbabwe.
Ifahamike ya kwamba Morgan Tsvangirai aliwafahamisha wanachama wa MDC pamoja na raia wa Zimbabwe ya kwamba ni muhimu kuweka wazi hali yake ya Afya na kuahidi kama atapambana na maradhi hayo.
Hayo aliafahamisha katika mkutano na waandishi wa habari June 27 mjini Harare nchini Zimbabwe.
Ifahamike ya kwamba Morgan Tsvangirai aliwafahamisha wanachama wa MDC pamoja na raia wa Zimbabwe ya kwamba ni muhimu kuweka wazi hali yake ya Afya na kuahidi kama atapambana na maradhi hayo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment