August 05, 2016

Ufunguzi wa michezo ya Olimpiki ya Rio2016 
Ufunguzi wa michezo ya Olimpiki ya Rio2016

2.50am:Kikosi cha wanariadha wa Olimpiki kutoka Australia ndio hao wanapita mbele ya mashabiki wanaowapongeza

 Wanariadha wa Australia
 Wanariadha wa Australia
2.45am:Tayari mataifa yanayoshiriki yameanza kuingia katika uwanja wa Mariccana huku shangwe na nderemo zikipamba hewani.
20.30am:Fataki zilizorushwa katika ufunguzi wa michezo ya Rio2016

 Fataki za aina mbali mabli zilirushwa katika ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki nchini Brazil 
Fataki za aina mbali mabli zilirushwa katika ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki nchini Brazil

2.15am: Usalama uliimarishwa nje ya ukumbi wa ufunguzi wa michezo hiyo katika eneo la Barra huku vikosi vya kijeshi vikisambazwa katika kila eneo la mita 25.msongamno wa magari sio mkubwa usiku huu.Inaonekana kwamba wakaazi wa Rio wanafuatilia ufunguzi katika runinga zao majumbani mwao!

 Usalama umeimarishwa katika ukumbi wa ufunbguzi wa michezo hiyo 
Usalama umeimarishwa katika ukumbi wa ufunguzi wa michezo hiyo

2.10am:Wakati huohuo takriban waandamanji 200 walipiga kambi katika ukumbi wa saens Pena nchini Brazil ili kupinga michezo hiyo,ikiwa ni mita chache kutoka eneo linalofanyiwa sherehe za ufunguzi wa michezo.

 Waandamanaji mjini Rio 
Waandamanaji mjini Rio
Maandamano hayo yalioanza mwendo wa saa nane siku ya ijumaa yalikamilika katika ukumbi huo mwendo wa saa kumi na kuelekea katika uwanja wa Marrica.kulikuwa na ripoti za ghasia katika barabara inayoelekea katika uwanja huo lakini baadaye zilisitishwa na muandamanaji mmoja alijeruhiwa.
2.05am:Takriban mataifa 200 yanashiriki katika michezo hii.Sherehe hizo zimeanza kwa kurushwa kwa fataki huku mashabiki waliotoka katika seshemu mbali mbali za ulimwengu wakifurahia.


Mashabiki wa Brazil waliojaa katika uwanja wa Mariccana 
Mashabiki wa Brazil waliojaa katika uwanja wa Mariccana
2.00am: Ni mbwembwe na furaha za aina mbali mbali katika uwanja wa Mariccana ambapo sherehe za ufunguzi wa michezo ya Olimpiki zimeanza.
Sherehe za Ufunguzi wa michezo ya Rio2016

Chanzo:BBC

Related Posts:

  • Mbowe Anyang'anywa Gari Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimesikitishwa na hatua ya uongozi wa Bunge la Tanzania ya kulichukua gari la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe alilokuwa akilitumia kwa sh… Read More
  • Unique Sisters warudi kwako wewe    Wasanii wakongwe kwenye game ya muziki ambao ni ndugu wa familia moja Unique Sisters, wamesema wamerudi rasmi kwenye game, kutokana na maombi ya mashabiki na kuachia kazi yao mpya kwa ajili yao inayoitwa '… Read More
  • Mama yake Hayati Samuel Sitta Alipoikaribisha Tigo Fiesta Tabora   Kama ilivyo kawaida ya FIESTA, huambatana na matukio mbalimbali ya Kitaifa, Kwa mkoa wa Tabpora watasherehekea Fiesta siku ya Ijumaa 01 Oct .Geah Habib alipata nafasi ya kutembelea nyumbani kwa Hayati Spika wa B… Read More
  • Ancelotti atimuliwa Bayern   Kocha wa Bayern Munich Carlo Ancelotti amefutwa kazi leo kufuatia mwanzo mgumu wa msimu wa 2017/18 yakiwemo matokeo ya jana usiku ambapo timu hiyo ilikubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa PSG. Mkurugenzi … Read More
  • Watanzania hawatatuelewa - Mwakyembe   Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amefunguka na kusema kuwa endapo watashindwa kufanya maandalizi mazuri ya michuano ya mataifa ya Africa (AFCON) kwa vijana 2019 basi Watanzani… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE