May 13, 2014


 
  Diva The Bawse ambaye ametoa wimbo wake mpya ‘Mashallah’ siku chache zilizopita, amesema anajiandaa kuufanyia video pamoja na kuanza tour ya kuutangaza wimbo huo.
“Video tunatarajia kufanya na aliyefanya ‘Asante’ ya Ay,” Diva ameiambia amesema.

Ameongeza kuwa kwasasa ameamua kuingia kwenye muziki kwa miguu yote miwili, ndio sababu anatarajia kuanza kufanya tour mikoani kuutangaza wimbo wake.
“Nahitaji kutumia muda mwingi kuutangaza huu wimbo, ambao uko chini ya management ya Sharobaro Recs, na ningependa kuulizwa maswali yanayohusu muziki zaidi kuliko mambo binafsi, nahitaji kuwa na privacy na ku-focus na biashara yangu, maisha yangu ya radio na muziki.”
Diva ameongeza,
“Pia nina meneja mpya anaitwa Kerry Kerwin ambaye anamsimamia Victoria Kimani akiwa hapa Tanzania, na pia niko tayari kuanza kufanya shows za mikoani. Tutahakikisha huu wimbo unafika katika radio zote za mikoani Tanzania na nje, na habari njema ni kuwa ‘Mashallah’ imeanza kupigwa Nairobi.”

Related Posts:

  • HUYU NDIYE ANAYELIPWA MKWANJA MREFU ZAIDI DUNIANI Ni Oprah Winfrey Malkia wa Talk Shows ametajwa kwenye jarida la Forbes kwa mwaka wa nne mfululizo kama staa anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani. List nzima ya nyota 10 wanaolipwa zaidi kwa mujibu wa Forbes n… Read More
  • TID AHUSISHWA KUPANGA NJAMA ZA KUMUUA ALI KIBA Habari ambazo zimesambaa mtaani hasa  Jijini Dar es salaam, zinamhusu msanii wa muziki wa kizazi Ali Kiba, inasemekana kwamba Hivi karibuni Familia yake inayoishi Kariakoo karibu na Club ya Soccer ya YANGA, e… Read More
  • ALICHOKIANDIKA KALA PINA facebook KUHUSU SENSA   KalApina Kikosi Cha Mizinga enyi waislam enyi mlio amini hakuna kuhesabiwa sensa mpaka hii serikali dhalimu na vibaraka wake kama bakwata mpaka serikali ikubali madai yetu kama kufungwa jela ama kukamat… Read More
  • RAY C ASEMA "Sijarudi Tanzania Kutafuta Bwana" Ray C Ray C ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hakuja Tanzania kutafuta Bwana wa Kuolewa nae kama watu wanavyosema mitaani...amefunguka na kusema kuwa amerudi Dar kwa ajili ya… Read More
  • ZERO FT. MR. BLUE ZERO FT. MR. BLUE (NEW JOINT RELEASED) New talent kwa jina la Zero kutoka Mkoani morogoro. Ni masanii ambaye kwa kweli naweza sema ni wa pili kwa uwezo wa ki-RnB mkoani Morogoro ambaye anakuja kumuweka belle 9 kat… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE