Flora Mbasha alikuwa na mchumba anaitwa Imma Lushanga Ambae Baba yake ni
Mmiliki wa Mabasi ya Lushanga huko Mwanza kabla hajaja Dar akiwa
amechumbiwa tayari Wiki mbili kabla ya kufunga ndoa Flora akapata safari
ya kwenda UK ambako wenyeji wake walimshauri kwamba kwa uzuri wake
atapata Mume mzungu mwenye pesa kuliko Imma yule wa Mwanza. Ili
kumkimbia Imma Flora na familia yake wakamtengenezea ishu Imma mchumba
wake kwamba ana Ukimwi kwa hiyo Flora hawezi kuolewa naye, Hii Nakumbuka
ilikuwa Stori kubwa Sana Mwanza Kipindi Hicho zaidi ya Miaka kama Kumi
na nne iliyopita mpaka leo Imma hajawahi kuoa tena na wala hana hamu
June 05, 2014
9:00 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Mwakyembe: Tulijiridhisa pasipo shaka Lowassa kuhusika na Richmond Aliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhi… Read More
Kauli ya UKAWA kuhusu kuzuiwa kwa uwanja wa Jangwani kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni. Soma hapa walichojibu MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Urais wa Tanzania anayeiwakilisha UKAWA kupitia CHADEMA, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa m… Read More
Msinitegemee Sana Kuongelea Matatizo ya Wasanii – Professor Jay Wasanii wasitegemee msaada wa maana pindi Professor Jay akiingia bungeni. Rapper huyo anayewania ubunge kwenye jimbo la Mikumi mkoani Morogoro amesema atatumia wadhifa huo kuwahudumia wananchi wa Mikumi. Professor amekiambia… Read More
Jokate ala shavu kamati mpya ya miss Tanzania Kutoka katika chumba cha habari cha TZ kilichopo Ubungo Tanznaia, tunapata habari hii inayohusu kuundwa kwa kamati mpya ya Miss Tanzania Shindano la kumsaka mrembo Miss Tanzania limerudi rasmi, na leo kulifanyika ut… Read More
muhimbili university Tazama Picha za Mafuriko ya Wanawake Waliojitokeza Millenium Tower Kumsikiliza Lowassa, Wengi Wamekosa Nafasi na Kubakia Nje Ni mkutano wa wanawake wa ukawa na mh lowasa hapa jengo la millenium TOWER Dar es salaam,hi… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment