Flora Mbasha alikuwa na mchumba anaitwa Imma Lushanga Ambae Baba yake ni
Mmiliki wa Mabasi ya Lushanga huko Mwanza kabla hajaja Dar akiwa
amechumbiwa tayari Wiki mbili kabla ya kufunga ndoa Flora akapata safari
ya kwenda UK ambako wenyeji wake walimshauri kwamba kwa uzuri wake
atapata Mume mzungu mwenye pesa kuliko Imma yule wa Mwanza. Ili
kumkimbia Imma Flora na familia yake wakamtengenezea ishu Imma mchumba
wake kwamba ana Ukimwi kwa hiyo Flora hawezi kuolewa naye, Hii Nakumbuka
ilikuwa Stori kubwa Sana Mwanza Kipindi Hicho zaidi ya Miaka kama Kumi
na nne iliyopita mpaka leo Imma hajawahi kuoa tena na wala hana hamu
June 05, 2014
9:00 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
NAY WA MITEGO,MADAM RITA SASA DAMDAM Mwanamuziki wa Hiphop Bongo,Emanuel Elibarik‘Nay wa Mitego’na Mkurugenzi wa Benchmark Production Rita Paulsen‘Madam Rita hawana tofauti, baada ya kupiga picha ya pamoja katika uzinduzi wa vid… Read More
LULU ATAJA SEHEMU ZINAZOPATIKANA TIKETI ZA UZINDUZI WA FOOLISH AGE Staa wa filamu za Kibongo Elizabeth Michael‘Lulu’ametangaza rasmi sehemu zinzopatikana tiketi za uzinduzi wa filamu yake ya Foolish Age inayotajiwa kuzinduliwa August 30,Mlimani City,Dar. Lulu ameposti tiketi hizo kupit… Read More
CRAZY GK NA BARAKA AU LAANA Baada ya kupotea kwenye muziki kwa muda mrefu sana Crazy Gk amerudi kwa kishindo na kuzindua wimbo wake mpya huku akisindikizwa na timu ya East Coast Team. Sababu kubwa iliyopelekea King Crazy Gk kupotea kwenye game… Read More
FOOLISH AGE YA LULU. TIKETI KUUZWA MLANGONI Tiketi za uzinduzi wa LULU Bado zinapatikana na Zitauzwa Mlangoni Kwa Gharama za shilingi Elfu 30 tu. UZINDUZI UNAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY KUANZIA SAA MOJA JIONI. usikose wahi sasa … Read More
KANUMBA FILM, KUSHUSHA KIPYA Kampuni ya filamu za Kibongo Kanumba The Great Films imeingia mzigoni kuandaa filamu mpya iitwayo WONDER GIRL ikiwashirikisha waigizaji mahiri wa tasnia hiyo. … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment