June 05, 2014


Flora Mbasha alikuwa na mchumba anaitwa Imma Lushanga Ambae Baba yake ni Mmiliki wa Mabasi ya Lushanga huko Mwanza kabla hajaja Dar akiwa amechumbiwa tayari Wiki mbili kabla ya kufunga ndoa Flora akapata safari ya kwenda UK ambako wenyeji wake walimshauri kwamba kwa uzuri wake atapata Mume mzungu mwenye pesa kuliko Imma yule wa Mwanza. Ili kumkimbia Imma Flora na familia yake wakamtengenezea ishu Imma mchumba wake kwamba ana Ukimwi kwa hiyo Flora hawezi kuolewa naye, Hii Nakumbuka ilikuwa Stori kubwa Sana Mwanza Kipindi Hicho zaidi ya Miaka kama Kumi na nne iliyopita mpaka leo Imma hajawahi kuoa tena na wala hana hamu 

Related Posts:

  • NAY WA MITEGO,MADAM RITA SASA DAMDAM   Mwanamuziki wa Hiphop Bongo,Emanuel Elibarik‘Nay wa Mitego’na Mkurugenzi wa Benchmark Production Rita Paulsen‘Madam Rita hawana tofauti, baada ya kupiga picha ya pamoja katika uzinduzi wa vid… Read More
  • LULU ATAJA SEHEMU ZINAZOPATIKANA TIKETI ZA UZINDUZI WA FOOLISH AGE Staa wa filamu za Kibongo Elizabeth Michael‘Lulu’ametangaza rasmi sehemu zinzopatikana tiketi za uzinduzi wa filamu yake ya Foolish Age inayotajiwa kuzinduliwa August 30,Mlimani City,Dar. Lulu ameposti tiketi hizo kupit… Read More
  • CRAZY GK NA BARAKA AU LAANA Baada ya kupotea kwenye muziki kwa muda mrefu sana Crazy Gk amerudi kwa kishindo na kuzindua wimbo wake mpya huku akisindikizwa na timu ya East Coast Team. Sababu kubwa iliyopelekea King Crazy Gk kupotea kwenye game… Read More
  • FOOLISH AGE YA LULU. TIKETI KUUZWA MLANGONI     Tiketi za uzinduzi wa LULU Bado zinapatikana na Zitauzwa Mlangoni Kwa Gharama za shilingi Elfu 30 tu. UZINDUZI UNAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY KUANZIA SAA MOJA JIONI. usikose wahi sasa … Read More
  • KANUMBA FILM, KUSHUSHA KIPYA   Kampuni ya filamu za Kibongo Kanumba The Great Films imeingia mzigoni kuandaa filamu mpya iitwayo WONDER GIRL ikiwashirikisha waigizaji mahiri wa tasnia hiyo.   … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE