February 26, 2015

 
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya shilingi laki tisa sh:900,000/=.
 Awali Chidi Benzi alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela ama kulipa faini ya kiasi hicho cha pesa kufuatia kesi iliyokuwa ikimkabili ya  kukamatwa na madawa ya kulevya.
 Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya,aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh: 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.

Related Posts:

  • DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG   Waasi DRC   Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda. Wanane kati ya waliofariki ni… Read More
  • Rais wa Burundi amepinduliwa    Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza Meja Jenerali wa Burundi Godefroid Niyombire alisema siku ya Jumatano kuwa alikuwa anafanya kazi na makundi ya vyama vya jamii, viongozi wa dini na wanasiasa kuunda serika… Read More
  • Maharagande amkumbuka Bob Marley kwa mashairi yake   Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa mziki wa Regge Duniani, Muweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro mjini kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Mbarala Maharagande, amepostmoja ya mashairi ya nyi… Read More
  • Ndugu wa Adebayor aomba msamaha   Ndugu na mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake. Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba… Read More
  • Mash J ndani ya XXL, yamkutanisha na Fid q Msh J   Mwanamuziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro, Mash J anayetamba na ngoma yake ya Mperampera aliyoimba na Stamina, yupo mbioni kufanya kazi na Fid q. Akizungumza ndani ya XXL ya Clouds Fm, Mash J amesema… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE