February 28, 2016

Samson Siasia achaguliwa kuwa kocha mpya wa Super Eagles 
Mchezaji wa zamani wa Nigeria Samson Siasia, amechaguliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa Super Eagles.
Shirikisho la kandanda la Nigeria NFF lilitoa tangazo hilo hapo jana baada kufanya mkutano na kamati ya benchi la ufundi.
Siasia alipewa jukumu hilo la kukinoa kikosi cha Super Eagles baada ya kocha wa zamani Sunday Oliseh kutangaza kujiuzulu siku ya Ijumaa.
Siasia atasaidiana na Salifu Yusuf na Emmanuel Amunike waliochaguliwa kuwa kama makocha wasaidizi

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE